Floyd Mayweather ajipongeza kwa ushindi

Floyd Mayweather ajipongeza kwa ushindi

Nilikuwa na makochi yanaonekana kama hizo seats nyeupe picha ya pili, nimeyatupa miezi michache iliyopita kuendana na fashion mpya.

Floyd Mayweather nimempita katika fashion, anatumia fashion nilizotupa miezi michache iliyopita.

For real.
 
Huyu bwana ni kama hata ushindi wake hua ni wa kimkakati hivi.ana ushindi wa kupangiwa akiwa kwenye pambano.ukitazama jinsi hua anapigana wala huwezi vutiwa nae au huwezi ona kama kweli ni mshindi wa pambano,huwezi mlinganisha na mtu kama Tyson,Mohamed Ali au mwingine ambae ni tishio anaitwa Antony Joshua.huyu Antony ukimtazama mapambano yake unaona hata angepambana na Tyson basi Tyson angefanya kazi sana kumshinda.lakini huyu Floyd Myweather ni mfano wa kina Matumla tu.ni kama aliingia mkataba na wapiga dili wa huko ulaya na utakuta pesa hizo zisiwe zake zote
 
Nilikuwa na makochi yanaonekana kama hizo seats nyeupe picha ya pili, nimeyatupa miezi michache iliyopita kuendana na fashion mpya.

Floyd Mayweather nimempita katika fashion, anatumia fashion nilizotupa miezi michache iliyopita.

For real.

Basi itakua ulitupa jirani na Nyumba ya Floyd akaamua kuyachukua.![emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Basi itakua ulitupa jirani na Nyumba ya Floyd akaamua kuyachukua.![emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaha, umezibuka.

Hayo makochi yalinipa ujiko sana.Kuna mtoto mmoja wa Berkeley alikuwa anahusudu sana picha zangu nimekaa kwenye makochi hayo. Siku hizo yalivyokuwa kwenye fashion.

Halafu nikaonekana mtanashati ninayeweza kuwa na makochimeupe bilakuyachafua.

Hii fall rangi inayotawalani burgundy, nimebadilisha. Floyd ana hela lakini fashion hajajua bado.

Nimeshangaa mpaka Mrisho Gambo amejua rangiiliyo in sasa hivi, lakini Floyd hajajua.

pic+gambo.jpg
 
Hapa ndipo sometimes uwa ninahisi kuna maisha mara nyingine, yani ukifa unazaliwa kwingine na maisha mengine.
Haimake sense juma anaishi Tanzania ana maisha magumu ni kibaka ana madhambi tele, halafu mayweather yuko states ana maela mengi na anafanya kufuru na uzinzi naye ana madhambi pia halafu eti wote wakifa waende motoni wakati mmoja duniani alikula raha mwingine aliishi kwa tabu.
Hiyo inaitwa juhudi ya mkaa ,unachomwa porini ukija mjini unapigwa moto tena kuivisha chakula!
 
Hatimaye bondia machachari na mwenye pesa, alieweka rekodi ya kutopigwa kwa mapambano ya ngumi 50, amejipongeza kwa kushinda pambano lake la mwisho na McGregor ambae ni bingwa wa UFC, kwa kununua jumba la kifahari huko Beverly Hills nchini Marekani..pambano hilo lilimuingizia Mayweather zaidi ya hela ya kitanzania Bilioni 225, na hakupoteza muda kuitumia hela yake hio aliyopata kwa kujipongeza.

Jumba hilo amelinunua kwa shilingi Bilioni 60 za kitanzania. Mayweather pia ametumia zaidi ya Bilioni 1 za kitanzania kufanya tu furnishing ndani ya nyumba yake hio mpya.

Jumba hilo lina ukumbi mkubwa wa kuangalia sinema, vyumba vya wageni, na sehemu nzuri ya kustarehe nje ikiwemo sehemu nzuri ya kuogelea.

Hii ni kwa ufupi tu, unaweza kuangalia zaidi picha hapo chini.

Everything is possible if you put your mind on it.

View attachment 602678
View attachment 602679
View attachment 602680
View attachment 602681
View attachment 602683
View attachment 602684
View attachment 602685
View attachment 602686
View attachment 602687
View attachment 602689
View attachment 602690
View attachment 602692
View attachment 602693
View attachment 602694
View attachment 602696
View attachment 602697
View attachment 602699
View attachment 602700
Thinking on everything is possible.. But making everything possible is impossible!!

Ukitaka kujua everything is not possible try to do everything uone kama is it possible!!!

Then rudi hapa urudie kusema everything is possible!!!?
 
Hatimaye bondia machachari na mwenye pesa, alieweka rekodi ya kutopigwa kwa mapambano ya ngumi 50, amejipongeza kwa kushinda pambano lake la mwisho na McGregor ambae ni bingwa wa UFC, kwa kununua jumba la kifahari huko Beverly Hills nchini Marekani..pambano hilo lilimuingizia Mayweather zaidi ya hela ya kitanzania Bilioni 225, na hakupoteza muda kuitumia hela yake hio aliyopata kwa kujipongeza.

Jumba hilo amelinunua kwa shilingi Bilioni 60 za kitanzania. Mayweather pia ametumia zaidi ya Bilioni 1 za kitanzania kufanya tu furnishing ndani ya nyumba yake hio mpya.

Jumba hilo lina ukumbi mkubwa wa kuangalia sinema, vyumba vya wageni, na sehemu nzuri ya kustarehe nje ikiwemo sehemu nzuri ya kuogelea.

Hii ni kwa ufupi tu, unaweza kuangalia zaidi picha hapo chini.

Everything is possible if you put your mind on it.

View attachment 602678
View attachment 602679
View attachment 602680
View attachment 602681
View attachment 602683
View attachment 602684
View attachment 602685
View attachment 602686
View attachment 602687
View attachment 602689
View attachment 602690
View attachment 602692
View attachment 602693
View attachment 602694
View attachment 602696
View attachment 602697
View attachment 602699
View attachment 602700
Kula like kwanza .

Halafu ngoja nianze kusoma ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom