Floyd Mayweather ampiku Muhammad Ally

Sijawahi kumpenda lenox Lewis ila kipindi chake aliwadunda hao kina evander na wenzake mpaka akastaafu kwa kukosa mpinzani..sasa kwenye list simuoni sasa huo kama sio ubwege kitu gani
 
Umezaliwa 2000 Ali atakuvutia vipi?
 
Sijawahi kumpenda lenox Lewis ila kipindi chake aliwadunda hao kina evander na wenzake mpaka akastaafu kwa kukosa mpinzani..sasa kwenye list simuoni sasa huo kama sio ubwege kitu gani
Unaposema kukosa upinzani unamaanisha nini?
Binafsi Lennox Lewis alikuwa njema sana lkn alishawahi kupata joto la jiwe toka kwa Hasim Rahman na Oliver McCall.
Hata mie nashangaa kutomuona ktk list hii!
 
M. ally anamzidi Mayweather kuandika na kusoma. Kusema hakuna kitu Ally anamkalisha May ni uongo!!
 
Ngumi za enzi hizo ndio zilikuwa burudani haswa.. sio za miaka hii

Ally bado atazidikuwa juu ya wote kwa wengine na sie
 
List hyo ni fake inaweka hw na lw kwa pamoja haiwezekani, KWANZA KABISA KAMA MIKE HAYUPO HIYO NI RUBISH KABISA, Mike Iron Tyson is the greatest boxer to ever happen, on his prime No one on that list could ever defeat him...OVA
 
Mkinisaidia ukokotozi wa hzo point kulingana na mapambano (W-L-D) nafikr hapo tunaweza kuanza kuwajadili.
 
Mkuu hii list yake ni Fake kabisa
 
Huwezi kuchanganya light weight na heavy weight, licha ya hayo Mike Tyson anakosekanaje hata top 20.
 
Wanalinganisha watu waliokuwa wakicheza round 15 na hawa round 12,Mohamed Ali fundi yule jamaa,katafute pambano la Thrila in Manila alilopigana na Joe Fraizer au lile alilopigana na George Foreman Kinshasha hapo.
hili pambano nilipolitazama nilibadili msimamo wangu na kumuweka ali juuya tyson,ali anapigana vizuri mpaka raha
 

Lile jamaa la kuitwa wilder halipo kwenye list..lile lijamaa lina roho mbaya balaa sijui wanaopigana nalo wanajiamini nini kudadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…