Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
we unaejua kuandika jina lako maisha yako yakoje? hamfukii floyd hata theluthi moja....msikariri maisha vijana fanyeni kazi kwa bidii,tumieni vipaji vyenu mtatoboa.Huyo hata kuandika jina lake hajui,mwache zama zake zitapita atakuja kuwa ka mike tyson baadae na atakuwa funzo kwa wengine
Unataka akupe hela zake bure tu?Ila watu kama hawa hata kukupa dola elfu moja hawezi nashindwaga kuwaelewa watu wenye pesa. Kama juz alichoma hela hadharani....saivi yuko visiwan huko anaafanya racing sports kwenye maji..
Meza kamaa yako hapo ndan ndugu unayesoma imepangwa hela bunda kote na ni bunda zimeshiba..daah..
Yesu wangu jaman auwiiiiiiiie yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiii jaman eeeeAnakwambia akiwa hewani yupo na private jet, akiwa kwenye maji yupo na Luxury boat na akiwa ardhini ndio shigda yupo na more than 10 luxuries cars. Na kila anaposafiri huwa achukui nguo ila anaenda kununua nguo huko huko anakoenda.
Rudia kunisoma..Sio unajibu ka unachamba,mi wala sijamdisiwe unaejua kuandika jina lako maisha yako yakoje? hamfukii floyd hata theluthi moja....msikariri maisha vijana fanyeni kazi kwa bidii,tumieni vipaji vyenu mtatoboa.
Acha uongo labda fake. Kuchoma moto pesa ni kosa kisheria.juzi kati alichoma moto pesa
Acha uongo labda fake. Kuchoma moto pesa ni kosa kisheria.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Fasheni ni kitu cha ajabu sana. Yani apo suruali imechanika, lakini tumepigwa upofu hatuoni.
utasubili sana poyoyo wewe.Huyo hata kuandika jina lake hajui,mwache zama zake zitapita atakuja kuwa ka mike tyson baadae na atakuwa funzo kwa wengine
Hizo fake. Zinauzwa hata ebay.au bado huamini
vitu fake unatumia wewe sio Floyd mayweatherHizo fake. Zinauzwa hata ebay.
ngeseYesu wangu jaman auwiiiiiiiie yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiii jaman eeee