Floyd Mayweather anaishi maisha ya ajabu

Anataka kuzipiga na bigwa na ufc mayweather ataingiza kamaa 100m jama akiwa mjanja atakuwa billionare
Bingwa wa ufc??? Sasa si ameacha..ila bwana huyu jamaa anavopenda sifa atarud ulingoni ila sjui ..
 
Bingwa wa ufc??? Sasa si ameacha..ila bwana huyu jamaa anavopenda sifa atarud ulingoni ila sjui ..
Atapambana ja ufc champion conor mcgregor washakubaliana, mayweather atachuku dollar 144m alafu conor atapata dollar 10m washakubaliana lakin bado kuweka kwenya pepar alaf pia conor mcgregor ana mkataba na ufc ndo bado kunashida kidogo
 
atumie tu jinsi anavyopendezwa, si anakula jasho lake bwana. hamna mtu aliyekua anamsaidia wakati anateseka gym

kupasha misuli kujiweka fit kwaajili ya mapambano, hakuna aliyekua anamsaidia pale ulingoni wakati anapasuka, iweje leo

tumpangie jinsi ya kutumia jasho lake? tumuache tu atumie mali zake ilimradi hamna mtu aliyemdhulumu hamna tatizo.
 
Huyo hata kuandika jina lake hajui,mwache zama zake zitapita atakuja kuwa ka mike tyson baadae na atakuwa funzo kwa wengine
Ikitokea hvy ata switch kwny ishu zngn kama taison kwa sasa n actor..kwahy hawez kuanguka kma w kwetu ambao wakipotea nd moja kwa1
 
Rudia kunisoma..Sio unajibu ka unachamba,mi wala sijamdisi
teh teh teh jirani huu mchezo hautaki hasira...by the way nimependa macho hayo japokua najua ki uhalisia huwezi kua na uzuri km huo.....
 
juzi kati alichoma moto pesa
Ndiyo maana tunasemwa kuwa sisi wenye asili ya rangi nyeusi akili pungufu kabsa, utachomaje hela, hata siyo billionaire kama whites ambao wametulia na miradi yao kibao, sasa huyo nigga anafanya kufuru za ajab akja kufuria watu hawataamini.
 
Ndiyo maana tunasemwa kuwa sisi wenye asili ya rangi nyeusi akili pungufu kabsa, utachomaje hela, hata siyo billionaire kama whites ambao wametulia na miradi yao kibao, sasa huyo nigga anafanya kufuru za ajab akja kufuria watu hawataamini.
kweli mkuu na alileta mjadala mrefu sana alivyo fanya huo ujinga akiwa club. nakubaliana na aliyetoa comment kwamba huyu kijana floyd kichwani hakuna kitu
 
Ushaona eeee!! Sisi weusi ubinafsi umepita kiasi, hilo linigga mpaka linachoma hela moto wakati huko marekani kuna manigga wenzake wanaishi kwenye slum ghettos, jinga saaaana. God pays against arrogant fools like this nigga.
 
Mnaosubiri afilisike mtakaa sana,maana anakampuni ya promotion,ambapo bondia zake wanachukua ubingwa kila siku na hela zinazidi kuingia.Anauza nguo,kofia na Tshirt za TMT..kaeni mkisubiri,mtakufa bila kelele,kama wafuasi wa kibwetere
 
kweli mkuu na alileta mjadala mrefu sana alivyo fanya huo ujinga akiwa club. nakubaliana na aliyetoa comment kwamba huyu kijana floyd kichwani hakuna kitu
Walio wengi wenye vipaji haram kama ngumi, huwa kama haziwatoshi wengi hawana hekima na kiasi cha mambo.... Ni majivuno na fujo pia ulevi.
 
Walio wengi wenye vipaji haram kama ngumi, huwa kama haziwatoshi wengi hawana hekima na kiasi cha mambo.... Ni majivuno na fujo pia ulevi.
haya matatizo yao naona yanatokana nangumi za kichwa wanazo kumbananazo ulingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…