titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,571
- 9,789
Acha kujipa moyo mkuu,kufa kupo palepale kwa kila mtu lakini haiwezi kuwa sababu ya kukuzuia kuishi maisha mazuri,alimradi humsumbui mtu,mayweather simkubali kwa tabia zake za kujibaraguza na show off lakini hyo hela hakupewa kaipata kwa juhudi zake hivyo anahaki ya kuitumia atakavyo.Utaendesha kila kitu ndege gari we utaweza, ila siku ya mwisho tutakubeba kwenye jeneza...na watu msururu....(kazi yake mola by madee)