Acha kujipa moyo mkuu,kufa kupo palepale kwa kila mtu lakini haiwezi kuwa sababu ya kukuzuia kuishi maisha mazuri,alimradi humsumbui mtu,mayweather simkubali kwa tabia zake za kujibaraguza na show off lakini hyo hela hakupewa kaipata kwa juhudi zake hivyo anahaki ya kuitumia atakavyo.
Huyo mnyamwezi ana utajiri (net worth) wa zaidi ya dalari 400 milioni,na ndege za dizaini hizo alizo nazo zinakosti around 20-40mill.so utapiga mahesabu mwenyewe
Huyo mnyamwezi ana utajiri (net worth) wa zaidi ya dalari 400 milioni,na ndege za dizaini hizo alizo nazo zinakosti around 20-40mill.so utapiga mahesabu mwenyewe