mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,962
- 2,477
Nimelazwa macho na uiinga wa waafrika ohooh pambano saa tisa saa tisa kumbe saa moja asubuhi akiri za mwafrika bhana akiambia kuwahi anachelewa na akiambiwa kuchelewa anawahi shida sana eti.....! Nimechukia sana make tangu saa nane niko macho...
ha ha ha aaaa, nimecheka sana