Hawwajui athari za fluoride mkuu.As some extra knowledge,Chemicals zinazotumia kwenye water treatment ni chlorine gas yenyewe, sodium hypochlorite, and calcium hypochlorite.Kwani wanoweka kwenye maji wenyewe huwa hawayatumii hayo maji ?
So kuyanywa kwangu inayafanya yawe mazuri,reasoning ya ajabu sana hii.Wewe huwa haunywi hayo maji ?
Wewe huwa haunywi hayo maji ?So kuyanywa kwangu inayafanya yawe mazuri,reasoning ya ajabu sana hii.
Fluoride na Chloride ni kitu kimoja ????Hivi wewe unaona wana akili inayotakiwa,mbona hawana.Soma comment yangu hapo chini,utaelewa ninacho maanisha.
COMMENT
"Ni ajabu sana kwamba watu hawasomi mabandiko kama haya,ambayo ni muhimu sana kwa maisha yao,na badala yake wanakimbilia sports/udaku news.Hii yenyewe inaonyesha kwamba tayari they are affected.
Ni kweli kabisa mkuu, sababu halisi ya kutumia kemikali hiyo ni kufifisha ubongo na akili ya binadamu,ili watawala waweze kuwatawala wananchi kirahisi kwa kuwa wana kiwango kidogo cha kufikiri. Hii huwafanya wasiwe na upinzani dhidi ya mamlaka.
Athari za Chloride ni kwamba baada ya kuitumia kwa muda, Chloride inafanya mtu kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri na hivyo kumfanya awe mtii zaidi kwa watawala.
Nilishaleta bandiko kama hili hapa,but few read it.Kinachoendelea katika nchi yetu sasa kwenye swala la kuwapa bandari zetu Waarabu,na mengi yaliyotokea huko nyuma kwenye mikataba na mambo mengine mbalimbali Kama Covid nk., kunaonyesha wazi kwamba serikali yetu ni collaborator katika conspiracy hii against us,na ndio maana hatujajali wala kufikiria kuchukua hatua zozote. Kutochukua hatua zozote against the establishment na kuwa complacent in everything kunaonyesha wazi kwamba tumekuwa affected and we are zombies of some kind."
Usichukulie mambo poa mkuu,tumeathirika sana.It has been proved that
'Chlorinated water 'can DOUBLE the risk of heart and brain abnormalities.'
Mkuu mimi nina kisima changu,labda kama kuna seepage ambayo ni contaminated.Wewe huwa haunywi hayo maji ?
Kabla ya kujua haya ulikuwa huyatumii ?Mkuu mimi nina kisima changu,labda kama kuna seepage ambayo ni contaminated.
Ni vitu viwili tofauti mkuu.Fluoride na Chloride ni kitu kimoja ????
Sawa kabisa.Nimeshangaa mmoja anaongelea Fluoride mwingine anajibia ChlorideNi vitu viwili tofauti mkuu.
Ina madharaVipi ya kwenye dawa za meno
Floride haitumiki kwenye water treatment,inatumika kwenye Dentistry.Sawa kabisa.Nimeshangaa mmoja anaongelea Fluoride mwingine anajibia Chloride
Niseme hivi,hata kama ulikuwa unatumia ukishajua una acha.Tukumbuke kwamba mwili una uwezo wa detoxification.Kabla ya kujua haya ulikuwa huyatumii ?
Kwahiyo kama ulikuwa unayatumia wewe akili zako/ uwezo wako wa kufikiri umepungua kiasi tofauti ulivyokuwa kabla hujaanza kuyatumia ?Niseme hivi,hata kama ulikuwa unatumia ukishajua una acha.Tukumbuke kwamba mwili una uwezo wa detoxification.
Hata hivyo in all this,dawa kubwa ni kumtegemea Mungu for protection.Marko 16:17-18 inasema,
17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
This is however applicable kama unakunywa maji yenye Chlorine bila kujua.Ukinywa kwa makusudi,God does not protect you,kwa kuwa unamjaribu Mungu.Tunaona ukweli huu Mathayo 4:6-7
Mathayo 4:6-7
6 Shetani akamwambia Bwana Yesu, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
No,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.Kwahiyo kama ulikuwa unayatumia wewe akili zako/ uwezo wako wa kufikiri umepungua kiasi tofauti ulivyokuwa kabla hujaanza kuyatumia ?
Kwahiyo wanaokunywa bila kujua Mungu atawalinda pia kama alivyokulinda wewe ?No,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.
Bila shaka Mungu hana upendeleo hivyo hataishia kukupendelea wewe tuNo,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.
Yes,Mungu hana upendeleo,anakulinda hata wewe kama unamwamini.Bila shaka Mungu hana upendeleo hivyo hataishia kukupendelea wewe tu
No,anawalinda kama wanamuamini tu,kama hawamuamini watajijua.Kwahiyo wanaokunywa bila kujua Mungu atawalinda pia kama alivyokulinda wewe ?
Kwani Mungu hubagua ?No,anawalinda kama wanamuamini tu,kama hawamuamini watajijua.
Kwahiyo kama Mungu wanamwamini na anawalinda hata wakinywa hayo maji bila kujua athari zake hawatapungukiwa kitu ?No,anawalinda kama wanamuamini tu,kama hawamuamini watajijua.