Fluoride in the Water for Mind Control

Fluoride na Chloride ni kitu kimoja ????
 
Group 7 above Cl, more reactive towards group I…
 
Kabla ya kujua haya ulikuwa huyatumii ?
Niseme hivi,hata kama ulikuwa unatumia ukishajua una acha.Tukumbuke kwamba mwili una uwezo wa detoxification.

Hata hivyo in all this,dawa kubwa ni kumtegemea Mungu for protection.Marko 16:17-18 inasema,

17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.

This is however applicable kama unakunywa maji yenye Chlorine bila kujua.Ukinywa kwa makusudi,God does not protect you,kwa kuwa unamjaribu Mungu.Tunaona ukweli huu Mathayo 4:6-7

Mathayo 4:6-7
6 Shetani akamwambia Bwana Yesu, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
7 Yesu akamwambia, Tena imeandikwa, Usimjaribu Bwana Mungu wako.
 
Kwahiyo kama ulikuwa unayatumia wewe akili zako/ uwezo wako wa kufikiri umepungua kiasi tofauti ulivyokuwa kabla hujaanza kuyatumia ?
 
Kwahiyo kama ulikuwa unayatumia wewe akili zako/ uwezo wako wa kufikiri umepungua kiasi tofauti ulivyokuwa kabla hujaanza kuyatumia ?
No,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.
 
No,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.
Kwahiyo wanaokunywa bila kujua Mungu atawalinda pia kama alivyokulinda wewe ?
 
No,nilikunywa bila kujua,kwa hiyo Mungu ninayemwamini amenilinda 100%.Naomba usome mistari ya Biblia niliyokupa.Mungu sio Mwanadamu hata aseme uongo.
Bila shaka Mungu hana upendeleo hivyo hataishia kukupendelea wewe tu
 
No,anawalinda kama wanamuamini tu,kama hawamuamini watajijua.
Kwahiyo kama Mungu wanamwamini na anawalinda hata wakinywa hayo maji bila kujua athari zake hawatapungukiwa kitu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…