Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
,by the way your location is 10 dawning street,should it not be 10 downing street-just curious
tueleze vizuri bana,wazee a ngwasuma ndio nani?
Baada ya hawa jamaa kuja UK nadhani wale wa Zeutamu watakuwa na picha nyingi....kuabisha watu wakijimwaga na Ngwasuma wazee wa Mujini....
Hii issue imeshakuwa confirmed, watakuwa Birmingham tarehe 11.04 na Reading watapiga siku inayofuata. Wadau wa UK tutangwasumika kipindi cha pasaka kwa kwenda mbele.
SASA,kwanini wanaishia birmingham na reading,sasa london ina maana hatutawaona?
- Haya wakulu tukutane huko London kwa wazee wa ngwasuma, wazee wa mujini kina Kitokololo, pablo Masai, Jose Mara, na Mkulu Nyoshe El-Sadat "Sauti ya Simba" chini ya Predjshee Mkulu Wangu Martin Kasyanju, Duh! wallahi itakuwa XXL siku hiyo na hawa wazee wa funika bovu.
I will be right there, vipi wakulu mtakuwepo? Tukutane huko jamani I am down.
FMES!
FEMES kumbe nawe umo eenh? Mimi show ya reading nitaisafiria, Birmingham is too far from where I live. Nahisi pia kutakuwa na show ya London lakini hawa mapromota hawataki kuitangaza. Tutafutane kwa mtakaokuwa Reading.
Mizengwe ya visa inawezekana walikuwa wanataka kujua taarifa zaidi,kwani kuna wimbi la wasaani au mabondia kubeba unga kupeleka ulaya. kuna kizazi ya tayari waingereza wamemkamata.
tunaharibu wenyewe jina zuri la nchi yetu.hizi ni tamaduni za Africa Magharibi.
- Mkuu hawa ndio hasa watu wangu baada ya "kufa" kwa Kamanyola ya Mbuya Makonga, Kassongo na kina Vumbi Kahanga, Dekule na ni mimi ninayewanunulia sana spare za vyombo vyao na hasa studio yao, maana owner Martin ni ndugu yangu, kwa hiyo tupo pamoja mkuu huko, au?
FMES!
Jaribio la kwanza la kuomba visa lili fail kwa kuwa kuna mambo sponsors walikuwa hawaja cover.
Martin nduguyo ni yule kibosile wa TANESCO?
Mkuu hii wanataja taja kuwa ya Mzee Kapuya ni kweli?na sasa Acudo pia.
Mkuu hii wanataja taja kuwa ya Mzee Kapuya ni kweli?
- Wanashirikiana na Martin unajua siku hizi mambo yote ni share ila majority shareholder ndiye anonekana kuwa mwenyewe kama Yankees na Mzee George.