Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Chanzo changu cha kuaminika kinanidokeza kuwa- wazee wa mujini, wazee wa bling bling, wazee wa pamba, wazee wa ngwasuma, toka jumatatu wamekuwakuwa wakiingia na kutoka katika ubalozi wa UK bongo katika jitiada zao za kufuatilia visa ili waweze kufanya show ndani ya UK. Kuna tetesi kuwa zoezi la utoaji visa limekuwa gumu kutokana na idadi kubwa ya wakongo wanaounda kundi hili. Kuna hisia kwamba wengi wataingia mitini na kuclaim asylum punde watakapotua hapa kutokana na machafuko ya hali ya kisiasa yanayoendelea nchini kwao.