Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kali kweli sio uongo mkuu..Ngoma mpya ya Foby kali sana
watanganzaji wa clouds hao au?Yaani nchi hii kuna watu wanajua mziki mpaka basi.. Yaaani..
Toka nilipomjua ibrahnation sijawahi kuona wimbo wake mbaya..! Ule wimbo Wa nilipize umetoka 2016 ila unaona Kama jana vile... Kuna ile tabibu dah kiukweli huyu jamaa namkubali saana..
Kuna huyu mwingine foby.
Huyu jamaa ana melody ya hatari Sana.. Yaani kusikiliza nyimbo unajihisi Kama unaimba Wewe vile..
Katoa ngoma mpya inaitwa bora.. Nashaur mkaisilize msije kusema Pancho natoa promo..
Cha ajabu sizijui hata management zao.. Ina maana wamepuuziwa. Tu..
Dah.
Pancho Latino..
Chorus aliyopiga Foby kwenye Tunakula Bata zaidi ya Rkelly.Yaani nchi hii kuna watu wanajua mziki mpaka basi.. Yaaani..
Toka nilipomjua ibrahnation sijawahi kuona wimbo wake mbaya..! Ule wimbo Wa nilipize umetoka 2016 ila unaona Kama jana vile... Kuna ile tabibu dah kiukweli huyu jamaa namkubali saana..
Kuna huyu mwingine foby.
Huyu jamaa ana melody ya hatari Sana.. Yaani kusikiliza nyimbo unajihisi Kama unaimba Wewe vile..
Katoa ngoma mpya inaitwa bora.. Nashaur mkaisilize msije kusema Pancho natoa promo..
Cha ajabu sizijui hata management zao.. Ina maana wamepuuziwa. Tu..
Dah.
Pancho Latino..
I second youMuziki ni kile wanachotaka watu/wasikilizaji...Ibrahnation,Foby,Hanstone,Marioo wanavipaji sana.
Unatakaje???kati ya ibra & foby wewe ni nani kati yao?
Mkuu! Fobby hana Management......Yaani nchi hii kuna watu wanajua mziki mpaka basi.. Yaaani..
Toka nilipomjua ibrahnation sijawahi kuona wimbo wake mbaya..! Ule wimbo Wa nilipize umetoka 2016 ila unaona Kama jana vile... Kuna ile tabibu dah kiukweli huyu jamaa namkubali saana..
Kuna huyu mwingine foby.
Huyu jamaa ana melody ya hatari Sana.. Yaani kusikiliza nyimbo unajihisi Kama unaimba Wewe vile..
Katoa ngoma mpya inaitwa bora.. Nashaur mkaisilize msije kusema Pancho natoa promo..
Cha ajabu sizijui hata management zao.. Ina maana wamepuuziwa. Tu..
Dah.
Pancho Latino..
Wewe ndo mtunzi wake mkuu? Kwanini Hana management?Mkuu! Fobby hana Management......
Mida hii naandika Video yake ya nyimbo ya Bado ndo inamaliziwa ku shoot.... Vijana wapo Location Now, Jumamosi itakua hewani Kama Kila kitu kitakua Sawa.....
Dogo ana kipaji Sana... Na nyimbo yake ni Kali. View attachment 1282906
Hapana sio mtunzi wake...Wewe ndo mtunzi wake mkuu? Kwanini Hana management?
Wewe unawajua akina bill shanky kule uzi wetu wa the redsNaona nazeeka sasa.
Yaani sina hata mmoja nayemfahamu.
Show Kali mzee director ni nani sasa?Hapana sio mtunzi wake...
Mwanangu ndo anamfanyia Video so nilikuwepo Location....
Sijajua kwa nini mpaka Sasa hana Management.
Inawezekana ulichosema,ni vigum sana kuelewa hawa vijana kwa nn hawapo wanapotakiwa kuwepo ila kuna sehem ndogo ndogo wanachemkaMuziki ni kile wanachotaka watu/wasikilizaji...Ibrahnation,Foby,Hanstone,Marioo wanavipaji sana.
Wewe unawajua akina bill shanky kule uzi wetu wa the reds
I see ungewasikiliza lakini KakaNi old school kind of.
Sasa hivi nimeshindwa ku-keepup na hawa new schools.