Folding min portable washing machine.

Folding min portable washing machine.

1gb

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
2,199
Reaction score
2,859
Habari.
Wakuu nahitaji hyo mashini ndogo ya kufulia,ndogo kabisa mfano picha hapa chini.
Nipo Dar es salaam.
Nicheki pm tufanye biashara.
Karibu.

20210206_094457.jpg
20210206_094516.jpg
 
 
Usisahau na contact mkuu wangu.
Maana insta sina account hata ya kuazima.
Thanks in advance
Jina: Ajay_business centre
Contact:0676169893
0673958899
👆👆Hizo ndiyo namba zao walizoandika instagram nazan unaweza kuwasiliana nao🙏 1gb
 
Shukran,ahsante kwa kunyatinyatia.
Mpk hapa tulipofikia,kwa msaada wako.
 
China zinauzwa kama elfu 30
Hadi Tz baada ya Kodi wapo wanaouza elfu 80 Tu..
Hawa wengine tamaa sana..
Yaan bongo upigaji kila sehemu hakuna penye unafuu.
Labda km unanunua pencil na kifutio.
Ndo imeendelea kubaki palepale kwa mda mrefu.
 
China zinauzwa kama elfu 30
Hadi Tz baada ya Kodi wapo wanaouza elfu 80 Tu..
Hawa wengine tam
China zinauzwa kama elfu 30
Hadi Tz baada ya Kodi wapo wanaouza elfu 80 Tu..
Hawa wengine tamaa sana..
Acha kupotosha kwanza nikweli machine hiyo inauzwa 32-40tsh china lakini size yake per volume ni ;
Item Weight13.95 pounds
Package Dimensions22.44 x 15.94 x 14.57 inches
Tuje kwenye gharama za usafiri from china to Tanzania,
Kwa ndege 1kg =13$
Package ni 13pounds sawa na kilo 5 ampambo kama mfanyabiashara akiagiza china na kuship via ndege basi atalipia zaid ya dolla 50 kwa machine moja.
Na kwa kusafirisha kwa meli, Volume ya machine moja ni sawa na makadirio 0.05cbm
1cbm=400$
0.06cbm=?
Jibu ni 24$ ambayo ni sawa na elfu 55+ tsh.
Machine china 30,000/=
Usafiri 55,000/=
Jumla 85,000/=
Hapo Bado transaction fess Bado delivery charges then ifike bongo after 1 month wewe ununue kwa 80k anakufanyia bishara wewe, Usiongee Kama hauna uelewa wa vitu, Kuna dhambi gani hapo mtu hakija kuuza bidhaa hiyo kwa 130k-150k ? Au ulitaka upewe bure
 
Item Weight13.95 pounds
Package Dimensions22.44 x 15.94 x 14.57 inches
Tuje kwenye gharama za usafiri from china to Tanzania,
Kwa ndege 1kg =13$
Package ni 13pounds sawa na kilo 5 ampambo kama mfanyabiashara akiagiza china na kuship via ndege basi atalipia zaid ya dolla 50 kwa machine moja.
Na kwa kusafirisha kwa meli, Volume ya machine moja ni sawa na makadirio 0.05cbm
1cbm=400$
0.06cbm=?
Jibu ni 24$ ambayo ni sawa na elfu 55+ tsh.
Machine china 30,000/=
Usafiri 55,000/=
Jumla 85,000/=
Hapo Bado transaction fess Bado delivery charges then ifike bongo after 1 month wewe ununue kwa 80k anakufanyia bishara wewe, Usiongee Kama hauna uelewa wa vitu, Kuna dhambi gani hapo mtu hakija kuuza bidhaa hiyo kwa 130k-150k ? Au ulitaka upewe bure

Sasa yupi anaeuza Kwa 130..mbona wote wanauza hadi 200k?
Yupo alieuza Kwa 80
 
Back
Top Bottom