:lol::lol::lol::lol: foleni akuuu
:lol::lol::lol::lol: foleni akuuu
Hahahahahaha naweka picha foleni ya kulala na mume, lol
Mmmh:lol:ukute tena folen haitembei haraka!!
Wanaume kwa kupenda kutupanga foleni, na siku hizi wanakomeshwa yeye akipanga kuanzia mlango wa mbele na demu anapanga kuanzia mlango wa jikoni. mshindano tu. mtenda hutendwa
Hahahahaha! Mbona Mi nazipenda foleni za mapenzi. Ila wakati nasubiria niwe nimekaa.
Sitaki kabisa foleni ya mapenzi bora mkate, namtaka wangu wa peke yangu wa milele sitaki kushare na mtu
Wewe ni wa kipekee nataka yangu peke yangu
haaah duh hii kali hayseeMpenda wanawake alikuwa kasimama nyuma ya demu ktk foleni ya kununua mikate.. Jamaa akamwambia demu: Mrembo bora nikuoe upumzike na hizi foleni za kila siku! Demu akamuuliza jamaa: Je una mke? Jamaa akajibu: Ninao wawili. Demu akamwambia: Akaaa, samahani bora foleni za mikate kuliko za M***!!!