Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
yes, kama pale mbezi mwisho njia ya kwenda goba pangekuwa na roundabout kusingekuwa na haja ya traffic kukaa pale kusimamisha magari kwa mda mrefu.Tanzania and particularly Dar haina magari ya kuweza kusababisha foleni for 4 hours.Shida kubwa IPO kwenye miundombinu tuliyonayo inayosababishwa na ukilaza wa madesigner wetu.Hawataki kujishughulisha Wala kutumia akili
Nyingi mno na bado naendeleaWewe mwenye akili umetatua changamoto gani kwenye jamii ukaacha alama?
OkNyingi mno na bado naendelea
aiseeee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sisi madereva tuna mambo mengi. Nina mji chalinze boss
Mkuu unajua kitu kinaitwa fortifications ambacho kinafanywa na akina Bhaharessa and other flour oil processors ili kukabiliana na tatizo la hiden hunger nchini? Hiyo ni moja ya kazi nilizowahi kuanzisha na kufanya advocance yake including kuagiza Micro nutrients powder and fortificantsWewe mwenye akili umetatua changamoto gani kwenye jamii ukaacha alama?
Hongera sana, kama umefanya hayo basi unayo haki ya kuwakosoa wengineMkuu unajua kitu kinaitwa fortifications ambacho kinafanywa na akina Bhaharessa and other flour oil processors ili kukabiliana na tatizo la hiden hunger nchini? Hiyo ni moja ya kazi nilizowahi kuanzisha na kufanya advocance yake including kuagiza Micro nutrients powder and fortificants
Sasa hivi nafanyia kazi loan scoring matrix za benk zinazokopesha wakulima ili kupunguza interest rate kuwezesha wakulima kupata mikopo nafuu ili kuboost productivity and household income for farming familiesHongera sana, kama umefanya hayo basi unayo haki ya kuwakosoa wengine
Naunga mkono hojaTatizo la foreni Dar halitakwisha hadi hapo CCM ikapo ondolewa madarakani, kumbuka tatizo la foreni ni chimbo la CCM na linazidi kunoga siku hadi siku, poleni sana mnaokwama pale Mbezi mwisho ila msifanye kosa Oct 28 msije juta milele
Ndio tuseme huoni kuna upanuzi wa njia nane unaendelea ili kupokea magari toka hapo ubungo?Foleni ya Ubungo serikali imeihamishia Mbezi, yaan ni mwendo wa kuhamisha tatizo kutoka zehemu moja kwenda sehem nyingi.Nchi ya uchumi wa kati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Heeeh usimfokee sasa lol, [emoji2][emoji2][emoji2] nakusabahi tyuuuh n mic u