Foleni ya Buguruni ni janga la kimkoa, serikali mko wapi?

Foleni ya Buguruni ni janga la kimkoa, serikali mko wapi?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.

Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
 
Situmekubaliana serikali imehamia dodoma ama? mbona mnalalamika inamaana bado mji huo una foleni? aisee basi sawa, jiwe oyee, aliwaaminisha anahamisha serikali kuondoa foleni etc. apumzike kwa amani shujaa wa chattle
 
Tatizo hakuna kiongozi mkubwa anaekaa mitaa hiyo... miaka nenda rudi tazara ni tatizo kubwa na hakuna ufumbuzi... wamejichimbia zao masaki wanakula upepo wa bahari..
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Madai ya Katiba mpya nchini yataanzia hapo
 
Foleni zitaishaje wakati tunajenga madaraja pekee kwenye junctions badala ya njia za juu zinazotembea umbali mrefu...
Serikali haina hela ya kuwekeza kwenye miradi yenye faida kwa wananchi kwa sababu wao wakiwa wanapita na vimisafara vyao wanapishwa na magari yote
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Kuna siku nimetumia masaa matatu kutoka njiapanda tabata hadi buguruni, hiyo ikanifanya nihamie tarime mazima
 
Tatizo hapo njia panda ya buguruni mataa na njia panda ya Tazara zipo karibu karibu sana na zote zina magari mengi..

Kwa akili zangu hapo ilibd Tazara kule lile daraja liwe kama la ubungo wanaotoka buguruni na bandarini ilibd wasisimame wapite moja kwa moja ila kale ka daraja kamoja kalaghabao...

Ukitokea Tazara kuja buguruni napo kizazaa na Trafic wana enjoy tu mana wanatega wale ambao wanaamua watanue
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Hiyo foleni inatengenezwa makusudi na trafik mkoa wa ilala ili magari yatanue wakupige fine .wanamake sana hela hao na ushahidi upo
 
Siku askari wa usalama barabarani wakiamua pasiwepo na foleni kwenye barabara za Dar wanaweza na kweli kunakua hakuna foleni

Tatizo ni kwamba hua wanakaa maeneo ya "kimkakati" kwa ajili ya (kukusanya) mapato ya serikali. Wanapokuja kushtuka na kuanza kufanya kazi ya kuongoza magari, foleni zinakua zimeshashika kasi
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Hilo eneo la bigurini mpaka tabata huwa sinaga hamu nalo. Raha ya huko bodaboda. Raha ya kuendesha gari ipo kigamboni tu mji huu
 
Waweke round about
Inaweza saidia kweli nadhan wangejenga na njia za mchepuo kuna njia moja inatokea buguruni sokon ni njia ya mtaan ile ingewekwa vizuri ingeasaidia sn
 
Back
Top Bottom