Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Mataa ya buguruni yaondolewe waweke msunguko tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua ndege au "hedikopta"!Acha kulalama ustaadh!😝😝😝😝Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
Naangalia Avatar Yako, Nacheka SanaBuguruni mpaka Tabata ukitoboa hiyo sehemu
Acha gari panda bodaHili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
Lianze kunyanyukia mbele ya daraja la treni kuelekea buguruni mataa itasaidia magari kujongea kwa harakaKuna flyover ya tren pale kati sijui watadesign vipi
Tazara pia bado ni shida panatakiwa lingine la juu kama ubungoLianze kunyanyukia mbele ya daraja la treni kuelekea buguruni mataa itasaidia magari kujongea kwa haraka
Moja ingechepukia pale kwenye ma hardware ukitokea Matumbi ikatokee Rozana nyingine itokee CUF ikatokezee relini kabla ya flyoverInaweza saidia kweli nadhan wangejenga na njia za mchepuo kuna njia moja inatokea buguruni sokon ni njia ya mtaan ile ingewekwa vizuri ingeasaidia sn
Kwan ile bandari kavu ya kule Kwala,bado tu kuanza??Malori yote yawe yanaishia huko huko
na wewe kwanini unakaa Buguruni? huko hata mkuu wa mkoa hajawahi kufikiria kutembelea
Watatenga bajeti mwaka wa fedha ujao kujenga hilo eneo hapo.Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa