Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panakera sanaHali imekua ni tete sana pale
Mpaka saa nne usiku unakuta traffic anaongoza magari wameshafanya mrija wao was kuchukua pesaHiyo foleni inatengenezwa makusudi na trafik mkoa wa ilala ili magari yatanue wakupige fine .wanamake sana hela hao na ushahidi upo
Nimemtoa mwamba mmoja juz hapo ya ku brush nilitanua[emoji23][emoji23]Hili nimelisikia sana...ngoja nikafukue nije niwaanike humu
na wewe kwanini unakaa Buguruni? huko hata mkuu wa mkoa hajawahi kufikiria kutembeleaHili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
Wanajenga daraja pale salendar tena wakati huku buguruni foleni kichefuchefu haswaaa!!Tatizo hakuna kiongozi mkubwa anaekaa mitaa hiyo... miaka nenda rudi tazara ni tatizo kubwa na hakuna ufumbuzi... wamejichimbia zao masaki wanakula upepo wa bahari..
Kuna flyover ya tren pale kati sijui watadesign vipiHapo kuna haja ya flying over,kutoka Buguruni mataa,hadi kule mbele ya Tazara,la sivyo watu watakaa kwenye foleni hadi mtaomba Mungu sana
Ile flyover hata haisaidii,pitia pale ukitokea ubungo mida ya saa nne usiki hiyo foleni ya malori ni balaaHili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
hahahahaha, haki ya nani, kama tumbo limekuvuruga alaf umeganda pale, utaimbaUshawai kukumbana na folen ya veta wewe au unsema tu.?????
Hapa nakosa Cha kuongea ujue.hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Halafu wabapokea rushwa waziwaziHiyo foleni inatengenezwa makusudi na trafik mkoa wa ilala ili magari yatanue wakupige fine .wanamake sana hela hao na ushahidi upo
Pale kuna shida kubwa mbili:--Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.
Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.
Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.
Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?
Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.
Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa