Foleni ya Buguruni ni janga la kimkoa, serikali mko wapi?

Foleni ya Buguruni ni janga la kimkoa, serikali mko wapi?

Situmekubaliana serikali imehamia dodoma ama? mbona mnalalamika inamaana bado mji huo una foleni? aisee basi sawa, jiwe oyee, aliwaaminisha anahamisha serikali kuondoa foleni etc. apumzike kwa amani shujaa wa chattle
[emoji23]
 
Hiyo foleni inatengenezwa makusudi na trafik mkoa wa ilala ili magari yatanue wakupige fine .wanamake sana hela hao na ushahidi upo
Mpaka saa nne usiku unakuta traffic anaongoza magari wameshafanya mrija wao was kuchukua pesa
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.

Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
na wewe kwanini unakaa Buguruni? huko hata mkuu wa mkoa hajawahi kufikiria kutembelea
 
Tatizo hakuna kiongozi mkubwa anaekaa mitaa hiyo... miaka nenda rudi tazara ni tatizo kubwa na hakuna ufumbuzi... wamejichimbia zao masaki wanakula upepo wa bahari..
Wanajenga daraja pale salendar tena wakati huku buguruni foleni kichefuchefu haswaaa!!
 
Hapo kuna haja ya flying over,kutoka Buguruni mataa,hadi kule mbele ya Tazara,la sivyo watu watakaa kwenye foleni hadi mtaomba Mungu sana
Kuna flyover ya tren pale kati sijui watadesign vipi
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.

Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
Ile flyover hata haisaidii,pitia pale ukitokea ubungo mida ya saa nne usiki hiyo foleni ya malori ni balaa
 
Hili suala la Buguruni foleni naona serikali imeamua kufumbia macho kabisa.

Hapa nazungumza nimekaa kwenye gari karibia masaa mawili kiasi cha kutamani kushuka niiache gari yangu nichukue bodaboda lakini sina chaguo.

Haya mateso hadi lini? Gharama za mafuta kipengele, traffic wanavyotukata faini kipengele, na foleni nayo kipengele hakuna kitu kigumu nchi hii kama kumiliki gari ni mateso tu.

Turudi kwenye mada hili suala la Buguruni kwanini serikali imelikalia kimya? Kwanini ni buguruni tu ndo pamekua sugu namna hiyo?

Pale Tazara hamna tatizo ijapo ilitakiwa kuwe na flyover mbili juu badala ya hiyo moja lakini ndugu zangu hapa Buguruni pameshindikana kabisa sijui solution ninini na serikali imekaa kimya tu.

Siku hizi imefika mahali mtu ukiwaza kupita njia ya buguruni ukiikumbuka foleni ya pale unahisi kuchoka kabisa
Pale kuna shida kubwa mbili:--
1/. Malori mengi mno yanayoenda na kutoka bandarini yanasababisha msongamano. Yangewekewa utaratibu wa kuingia bandarini usiku tuu.
2/. Traffic police wanasimamisha magari muda mrefu mno ili watu wachoke kusota kny foleni watanue, halafu wao wanavuna tu mkwanja wa rushwa toka kwa watanuaji kilainiiii
 
Back
Top Bottom