Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Nimekaa kwa foleni sasa ni masaa 3 mniombee kwa kweli

Hizi foleni ni noma

Kuanzia mtongani mpaka rangi tatu masaa matatu kweli mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata sijui kama mchepuko atanielewa leo.....

Mniombee wana Jf
 
Kwani unaenda kulala kwa mchepuko au utageuza? Kama unaenda kulala hamna haja ya kukonda
 
Yatakwisha Hayo
Serikali Ipo Mbioni Kutatua Hiyo Hiyo Kero
 
Juzi nilikupongeza kuandika kibabe Leo tena umerudia tena “Muniombe kwa kweli” nini hiki.
 
Naenda kwa shemeji yako hapo ashaniandalia maji yenye hiliki na asumini mzee baba nasubiriwa na toto la kitanga kudadeki
Juzi nilikupongeza kuandika kibabe Leo tena umerudia tena “Muniombe kwa kweli” nini hiki.
 
Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.
 
Kweli aisee
Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.
 
Back
Top Bottom