Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.
Kuna matengenezo ya barabara kupisha mwendokasi lanes zimepunguzwa ni muda tu baada ya matengenezo tutakuwa wazi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeh sana
 
Back
Top Bottom