Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari

Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.
Hata wakijenga 10 lanes kama hakuna feeder roads nyingi ni kazi bure.
Huu mji wala hauna watu wengi ni moundombinu mibovu na mpango miji mibovu.
 
Yes mkuu, zinakula kushoto baada ya hako kamuinuko inatoa jam...dah miss sana mitaa hiyo, struggle za maisha bana zinatupeleka mbali sana

Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
Hata nami ni siku nyingi mkuu dah! Pale Mbagala misheni ndio ilikuwa mitaa yangu kipindi naishi Dar es salaam.
 
Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.

Kwa sasa ni ujenzi wa mwendokasi unasababisha foleni, wamefinya lanes kutanua sehemu ya ujenzi ya katikati!

Wakati mwingine wanafunga kabisa lane moja kuruhusu ujenzi uendelee!

Diversions nazo zinasababisha foleni sana, wenye magari ya chini halafu namba kuanzia DRA wanabembeleza sana gari zao, mtaro mdogo tu wanuvuka nusu saa nzima!
 
Hata wakijemga 10 lanes kama hakuna feeder roads nyingi ni kazi bure.
Huu mji wala hauna watu wengi ni moundombinu mibovu na mpango miji mibovu.
Kweli kabisa mkuu, walioplan miundombinu Dar hawakuangalia mbali sasa hivi shida tupu kila sehemu foleni hadi kero.
 
Hata wakijemga 10 lanes kama hakuna feeder roads nyingi ni kazi bure.
Huu mji wala hauna watu wengi ni moundombinu mibovu na mpango miji mibovu.
Hiyo wanaweza ifanya kwa miji mipya kama Dom. Kwa Dar ni kama too late hivi.
 
Dom ndio hovyo kabisa. Wale cda hakuna kitu walichokifanya zaidi ya kuuzia watu viwanja vya sqm 400.
Hawa watu hawachukuagi hata muda kwenda kujifunza nje mipangilio ya miji na miundombinu.Nadhani sisi bado tunaamini uzuri wa mji ni barabara ya njia ngapi sijui na skyline. Vitu kama service na feeder roads hatujavitilia maanani kabisa.Kama na Dom hawajaplan vitu vya hivi basi wanajua wanapoelekea wenyewe maana naliona ndo jiji linaloweza kupangiliwa kimuonekano ikizingatiwa bado mapema.Miji mingine mikubwa iliyotangulia ilishakubuhu!
 
Nimekaa kwa foleni sasa ni masaa 3 mniombee kwa kweli

Hizi foleni ni noma

Kuanzia mtongani mpaka rangi tatu masaa matatu kweli mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata sijui kama mchepuko atanielewa leo.....

Mniombee wana Jf
Uwahi kurud kwa mumeo
 
Watu wamejazana Dar hadi nguvu ya ziada inahitajika sasa. Mbagala rangi tatu si ni four lanes kama sikosei ila kero yake sasa kama njia mbili vile.Huku kwetu nilikuwa nachukua masaa ya kutosha tu barabarani ila barabara ilivyoongezwa idadi ya lanes nimesahau kabisa foleni inafananaje yaani ni kuserereka tu! Huko sasa labda mjengewe flyovers zaidi na sijui wataziweka hadi huko Rangi tatu! Barabara za Dar es salaam zimezidiwa na heavy traffic.
Chanzo cha foleni huko ni ujenzi wa barabara za mwendokasi.
 
Mkuu ungepitia apa mtongani tupate walau supu ya kongoro uku ukisubiria foleni ipungue...
 
Nimekaa kwa foleni sasa ni masaa 3 mniombee kwa kweli

Hizi foleni ni noma

Kuanzia mtongani mpaka rangi tatu masaa matatu kweli mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata sijui kama mchepuko atanielewa leo.....

Mniombee wana Jf
Mbagala kwa walalahoi, uncouth , uncivilized popln!
 
Shida yote unaenda kutema mate tu na kugeuka, mhamishe.
 
Shida yote unaenda kutema mate tu na kugeuka, mhamishe.
Yee kyaa mandeny nyineata ukhumbi nsi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Sijui haya mateso mpaka lini

Ni ujinga tu unaofanyika, watu wanaweka siasa mpaka kwenye vitu vya msingi. Mimi sielewagi kama wanaohusika na miundo mbinu hapa nchini wanatumia akili, foleni ya mbezi luis niya kipumbavu sana na unaweza ukawa unawatukana tu viongoz matusi ya nguoni kila wakati.naskiaga hasira sana nikionaga mada za foleni ya mbezi luis tunatiana umaskini sana kwenye hizi foleni. Acha niishie hapo nahisi hasira sana.
 
Back
Top Bottom