KERO Foleni ya malori kuingia Kigamboni

KERO Foleni ya malori kuingia Kigamboni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Status
Not open for further replies.
A

Anonymous

Guest
Takribani wiki mbili sasa malori yamekuwa yakifunga njia ya kuingia kigamboni.

Hii inaonekana taratibu za malori kuingia na kutoka bandarini hazisimamiwi ipasavyo.

Usumbufu wa watumiaji wengine wa njia umekithiri sana.

Hatuoni Jeshi la usalama barabarani likifanya kazi yake ktk hili.

Tunaomba mamlaka zione kero hii na kuifanyia kazi.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom