FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Wajinga kama nyie ndo mlikuwa mnapelekwa utumwani na kuhasiwa.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Suala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
Bila kufanya hivyo,foleni haitaisha, magari yanaongezeka na yanazidi kushuka bei, huko tuendako kila mmoja atakuwa na usafiri utakaosababisha msongamano.Suala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
ha ha ha nilichokipendekeza ndio suluhisho la kudumuWajinga kama nyie ndo mlikuwa mnapelekwa utumwani na kuhasiwa.
Ujinga mtupu,kwa public transport system gani ya maana hapa bongo mpk ufanye hivyo?Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Hana gari HUYOSuala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
Ni kuboresha mfumo tu,wanaweza wakaweka wawekezaji 3, 5 n.kUjinga mtupu,kwa public transport system gani ya maana hapa bongo mpk ufanye hivyo?
Kwa kutegemea hizi mwendokasi choka mbovu,hiace,Treni ya Mwakyembe au ninj?
Mpuuzi sana we jamaa, yaani watu unashaurije serikali irahisishe maisha wewe unataka kufanya yawe magumu zaidi.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Ugumu unakuwa uko wapi? Kwa upande wako unafikiri suluhisho ni nini?Mpuuzi sana we jamaa, yaani watu unashaurije serikali irahisishe maisha wewe unataka kufanya yawe magumu zaidi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Huu ushauri wako hukufanya Equation kabisa sasa nakuache ukome na coment za wadau pole sana.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
ha ha ha ndio maana nilisema ni maamuzi magumu yasiyowapendeza wengiHuu ushauri wako hukufanya Equation kabisa sasa nakuache ukome na coment za wadau pole sana.
Anasema mfugale tower kule chato iko dolo mkuu.Awamu hii pana wakereketwa wa awamu ile ukiwamo mkuu ni mwendo wa mabarabara na madaraja.
Huko tanroads kwani mhandisi Mfugale anasema je?
Alafu serekali itapataje pesa ya kodi inayotoka kwenye mafuta!!??Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.