Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Nchi gani wanafanya hivi inaonekana ww sio mwanauchumi unajua customer behaviour mkuu hiyo haitaisaidia chochote zaidi ya kushusha mapato kwa serikali gari ya kinyonge inapoingia Kodi 4,000,000 umefikiria kuhusu hili maana raia hawatodhubutu kuingiza gari.

Suluhisho ni kuongeza Tu miundombinu wajenge Tu flyover na watengeneze njia za ndani kuwa mbadala wa kuepuka foleni.
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
kwa usafiri upi wa uma?
 
Pale maoni yangu wangeweka daraja juu ya daraja kama ubungo vile ila safari hii daraja la kuoitisha zinazoenda bandarini ilibd itafutwe namna iunhe had ivuke buguruni sheli sijui wangefanyaje mana oale na buguruni sheli karibu sana yan pagumu sana kuvunja jam pale...
 
Pale maoni yangu wangeweka daraja juu ya daraja kama ubungo vile ila safari hii daraja la kuoitisha zinazoenda bandarini ilibd itafutwe namna iunhe had ivuke buguruni sheli sijui wangefanyaje mana oale na buguruni sheli karibu sana yan pagumu sana kuvunja jam pale...
Yeah, naona mtihani mkubwa upo buguruni sheli, inabidi iende kutua mbele ya kivuko cha waenda kwa miguu
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Kama hujaanza kupaa na ungo basi umebakiza sekunde uanze[emoji848]
 
Nchi gani wanafanya hivi inaonekana ww sio mwanauchumi unajua customer behaviour mkuu hiyo haitaisaidia chochote zaidi ya kushusha mapato kwa serikali gari ya kinyonge inapoingia Kodi 4,000,000 umefikiria kuhusu hili maana raia hawatodhubutu kuingiza gari.

Suluhisho ni kuongeza Tu miundombinu wajenge Tu flyover na watengeneze njia za ndani kuwa mbadala wa kuepuka foleni.
Kodi za kuingiza gari nchini ziwe kawaida,ila gharama ya kuliendesha gari binafsi jijini iwe kubwa,ili hayo magari yarudi mikoani na vijijini. Ikiwa ni pamoja na kuboresha usafiri wa umma ili kuweza kupunguza misongamano isiyo ya lazima kwenye majiji.
 
Pale maoni yangu wangeweka daraja juu ya daraja kama ubungo vile ila safari hii daraja la kuoitisha zinazoenda bandarini ilibd itafutwe namna iunhe had ivuke buguruni sheli sijui wangefanyaje mana oale na buguruni sheli karibu sana yan pagumu sana kuvunja jam pale...
Hata wakiweka daraja,baada ya muda tatizo litajirudia tu...kwa sababu magari yanazidi kuongezeka
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Kuna wenzako waliwaza kama wew hivihivi wakapandisha kodi ya magari yanayoagizwa bandarini ila haijasaidia kitu.
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Hadi leo trh 30 April 2021, bado kuna watu mna mawazo kama haya??! Kweli bado tuna Safari ndefu sana.
 
Kuna wenzako waliwaza kama wew hivihivi wakapandisha kodi ya magari yanayoagizwa bandarini ila haijasaidia kitu.
Kwenye kuagiza gharama ziwe chini, ila kwenye kuligharamia likiwa jijini, gharama ziwe juu ili kuepusha msongamano. Au waje na formula, namba A mpaka C zote, ziondoke jijini ziende mikoani, hii pia itapunguza msongamano.
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
wewe mpuuzi kweli....kwani magari yetu binafsi si ndio tunakimbizana nayo kwenye ujasiriamali.....wazo la kipuuzi kabisa....
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.

Akili za wapi hizi jamani? Tozo ya 1mil kwa mwezi?(hata kama ni mfano) Tunawalaumu viongozi kumbe watanzania uwezo wetu ni mdogo tu generally. Imagine sasa kama wewe ungekuwa mtoa maamuzi! Damnit!!
 
Hadi leo trh 30 April 2021, bado kuna watu mna mawazo kama haya??! Kweli bado tuna Safari ndefu sana.
We unafikiri suluhisho la kudumu ni lipi?Je,ni kutanua barabara ziwe mita 20 kila mahali na kuharibu majengo yaliyopo, au kujenga daraja la juu kila penye makutano? Tupe majibu....
 
Back
Top Bottom