Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Zitaamia kibaha,Rufiji, Morogoro n.k na pia itasaidia kukua kwa miji mingineAlafu serekali itapataje pesa ya kodi inayotoka kwenye mafuta!!??
kama gari nyingi zikipaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitaamia kibaha,Rufiji, Morogoro n.k na pia itasaidia kukua kwa miji mingineAlafu serekali itapataje pesa ya kodi inayotoka kwenye mafuta!!??
kama gari nyingi zikipaki
Anasema mfugale tower kule chato iko dolo mkuu.
Nchi gani wanafanya hivi inaonekana ww sio mwanauchumi unajua customer behaviour mkuu hiyo haitaisaidia chochote zaidi ya kushusha mapato kwa serikali gari ya kinyonge inapoingia Kodi 4,000,000 umefikiria kuhusu hili maana raia hawatodhubutu kuingiza gari.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
kwa usafiri upi wa uma?Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Yeah, naona mtihani mkubwa upo buguruni sheli, inabidi iende kutua mbele ya kivuko cha waenda kwa miguuPale maoni yangu wangeweka daraja juu ya daraja kama ubungo vile ila safari hii daraja la kuoitisha zinazoenda bandarini ilibd itafutwe namna iunhe had ivuke buguruni sheli sijui wangefanyaje mana oale na buguruni sheli karibu sana yan pagumu sana kuvunja jam pale...
Kama hujaanza kupaa na ungo basi umebakiza sekunde uanze[emoji848]Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Na haoni hata dalili ya kununua gari..mfyuuu[emoji57][emoji57]
[emoji3][emoji3][emoji3]Na haoni hata dalili ya kununua gari..mfyuuu[emoji57][emoji57]
Yes inabd iunge had mbele ya daraja lile la warembea kwa miguu si kitoto hapoYeah, naona mtihani mkubwa upo buguruni sheli, inabidi iende kutua mbele ya kivuko cha waenda kwa miguu
[emoji1787][emoji1787]Kumbe nawe Una majibu korofi eehKama hujaanza kupaa na ungo basi umebakiza sekunde uanze[emoji848]
Kodi za kuingiza gari nchini ziwe kawaida,ila gharama ya kuliendesha gari binafsi jijini iwe kubwa,ili hayo magari yarudi mikoani na vijijini. Ikiwa ni pamoja na kuboresha usafiri wa umma ili kuweza kupunguza misongamano isiyo ya lazima kwenye majiji.Nchi gani wanafanya hivi inaonekana ww sio mwanauchumi unajua customer behaviour mkuu hiyo haitaisaidia chochote zaidi ya kushusha mapato kwa serikali gari ya kinyonge inapoingia Kodi 4,000,000 umefikiria kuhusu hili maana raia hawatodhubutu kuingiza gari.
Suluhisho ni kuongeza Tu miundombinu wajenge Tu flyover na watengeneze njia za ndani kuwa mbadala wa kuepuka foleni.
Baada ya kuboresha,pamoja na kuruhusu makampuni mengi kutoa huduma hiyokwa usafiri upi wa uma?
Hata wakiweka daraja,baada ya muda tatizo litajirudia tu...kwa sababu magari yanazidi kuongezekaPale maoni yangu wangeweka daraja juu ya daraja kama ubungo vile ila safari hii daraja la kuoitisha zinazoenda bandarini ilibd itafutwe namna iunhe had ivuke buguruni sheli sijui wangefanyaje mana oale na buguruni sheli karibu sana yan pagumu sana kuvunja jam pale...
Kuna wenzako waliwaza kama wew hivihivi wakapandisha kodi ya magari yanayoagizwa bandarini ila haijasaidia kitu.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Hadi leo trh 30 April 2021, bado kuna watu mna mawazo kama haya??! Kweli bado tuna Safari ndefu sana.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Kwenye kuagiza gharama ziwe chini, ila kwenye kuligharamia likiwa jijini, gharama ziwe juu ili kuepusha msongamano. Au waje na formula, namba A mpaka C zote, ziondoke jijini ziende mikoani, hii pia itapunguza msongamano.Kuna wenzako waliwaza kama wew hivihivi wakapandisha kodi ya magari yanayoagizwa bandarini ila haijasaidia kitu.
wewe mpuuzi kweli....kwani magari yetu binafsi si ndio tunakimbizana nayo kwenye ujasiriamali.....wazo la kipuuzi kabisa....Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
We unafikiri suluhisho la kudumu ni lipi?Je,ni kutanua barabara ziwe mita 20 kila mahali na kuharibu majengo yaliyopo, au kujenga daraja la juu kila penye makutano? Tupe majibu....Hadi leo trh 30 April 2021, bado kuna watu mna mawazo kama haya??! Kweli bado tuna Safari ndefu sana.