Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Huwa najiuliza watu wanaokuwa kwenye mamlaka wanaotoa maoni ya ajabu ajabu wanatokea wapi, kumbe wengine mpo hapa JF.

Hivi ndugu kwanza nikuulize tu, huwa unasali?! Maana kwa namna umeongea sidhani kama hata MUNGU unamtambua. Umetumia fikra za ubinafsi wa hali ya juu. Hivi unadhani watu wanapenda kuja mjini na magari ili kujaza foleni?!

Hivi umewazia watu wanaoishi huko kimanzichana, chanika, kibaha, kivule, kitunda, kinyerezi, kifuru, malamba mawili, kibamba, goba, umeshaona idadi ya watu wanaoishi hayo maeneo kwa wingi wao....?!

Hivi unadhani hawa watu wote wanapenda shida kama wewe, yaani tuishi kwa shida kwasababu tunaogopa maendeleo?!

Wewe na ndugulile Mnaweza kuwa mnatokea ukoo m'moja, maana na yeye ana mawazo kama yako, watu wanapofikiria maendeleo na kuongezeka yeye kwake anaona ni tatizo, heri watu wateseke na kupata shida kuliko kubadilisha utaratibu wa maisha.
 
Suala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
Watu kama hawa ndio wapo TCRA, TRA, na kwengineko, halafu tunajiuliza kwann hili taifa halina maendeleo. Unajua kuna watu wana ushamba na ubinafsi wa asili.

Yaani yeye anapoona maendeleo anapatwa na hofu anaanza kuharibu mikakati ya kimaendeleo sababu hataki maendeleo yatokee ili nafsi yake iwe na amani.

Imagine huyu mtu awe katika taasisi nyeti kama TCRA, TRA, Bandari, ndio tunashangaa maamuzi ya ajabu yanapitishwa ambayo hata mtoto mdogo anaweza kubaini kuwa yana shida.
 
Bila kufanya hivyo,foleni haitaisha, magari yanaongezeka na yanazidi kushuka bei, huko tuendako kila mmoja atakuwa na usafiri utakaosababisha msongamano.
Wewe aliekwambia kila mtu anaweza mudu kutumia gari, kulihudumia ni nani. Halafu umeambiwa hayo magari yanaendeshwa Dar tu?!

Huko nje ya mji hakuna hata foleni. Msongamano utakuwapo tu hata iweje endapo miundo mbinu haitaboreshwa. Mfano pale kariakoo, magari ndio yanaleta Msongamano au ni watu.....?!
 
Mpuuzi sana we jamaa, yaani watu unashaurije serikali irahisishe maisha wewe unataka kufanya yawe magumu zaidi.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wa hivi ndio walikuwa wanateuliwa enzi za magu tunashangaa serikali kupitia mamlaka zake inakuja na matamko ya ajabu ajabu ambayo hayana impact
 
Kwa uchunguzi wangu, foleni ya kipande hicho cha barabara (Tabata Dampo hadi Buguruni Chama) inasababishwa na junction ya hapo zinapokutana barabara ya kotoka Buguruni kwenda Vingunguti na ile ya Mandela Rd. TAZARA hapasababishi foleni kabisa, kwani kama unatoka Tabata utapata shida kuikamata Buguruni, ila ukishavuka Chama, kule mbele kwenda TAZARA unateleza tu, wala hakuna shida. Kwa mtazamo wangu tatizo lipo hapo Chama/Sheli
2758645_Screenshot_2021-04-30-14-52-09.png


Screenshot_2021-04-30-14-52-09.png
 
Mfano kama 'capacity' ya mji inauwezo wa kuhimili magari 100,000; sasa wewe unalazimisha magari 500,000....itawezekana? Mfano mwingine, labda wewe 'capacity' yako ni kula nusu kilo ya nyama kwa dakika 10, je utaweza kumaliza kilo 5 kwa dakika 10? Nadhani umenielewa.....
So kwa mawazo yako ni kwamba hawa watu 400,000 walioongezeka wanafanya kusudi kuikomoa serikali?!

Au ni serikali imekuwa ya kindezi kukaa miaka yote bila kuwaza kuwa watu wanaongezeka, mahitaji yanaongezeka, hivyo wanatakiwa mipango yao ilenge mahitaji ya miaka 50 ijayo ili hapa katikati kusiwe na tabu yoyote?!

Sasa wewe swala la foleni haujawahi sikia likiongelewa miaka ya nyuma?!

Wewe unaonekana hata ukiwa na watoto utawatesa sana kufurahia maisha hata kama una uwezo wa kuwapa exposure utataka waishi maisha ya shida kama yako uliyopitia wakati unatafuta.
 
Zitaamia kibaha,Rufiji, Morogoro n.k na pia itasaidia kukua kwa miji mingine
Unawapangia watu pahala pakuishi sababu ya kufeli kusolve changamoto ya miundo mbinu eneo la mji uliokua kwa kasi?!

Swala la ujenzi wa miundo mbinu ya kisasa ni miongoni mwa ajenda muhimu za wadau wa mipango miji na mamlaka husika.
 
Kodi za kuingiza gari nchini ziwe kawaida,ila gharama ya kuliendesha gari binafsi jijini iwe kubwa,ili hayo magari yarudi mikoani na vijijini. Ikiwa ni pamoja na kuboresha usafiri wa umma ili kuweza kupunguza misongamano isiyo ya lazima kwenye majiji.
Aliyekwambia kijijini watu wanachangamoto ya usafiri ni nani?!
 
Kuna wenzako waliwaza kama wew hivihivi wakapandisha kodi ya magari yanayoagizwa bandarini ila haijasaidia kitu.
Kabisa yaani. Mtu anakunja roho na kujisikia uchungu kabisa akiona mtoto wa mtanzania mwenzake ananunua gari ya kutembelea mjini yeye anaona kama anadhurumu nafsi yake kumuachia mwenzake kupata anachotaka.

Hii inchi yetu haiendelei sababu kuna watu wanaitikadi za kikoloni sana na viroho vya korosho humo serikalini.
 
Kabisa yaani. Mtu anakunja roho na kujisikia uchungu kabisa akiona mtoto wa mtanzania mwenzake ananunua gari ya kutembelea mjini yeye anaona kama anadhurumu nafsi yake kumuachia mwenzake kupata anachotaka.

Hii inchi yetu haiendelei sababu kuna watu wanaitikadi za kikoloni sana na viroho vya korosho humo serikalini.
Hahahahaha, we jamaa umenifurahisha sana ulivyomvaa mshikaji equation x mzima mzima,,, 😂😂😂😂
 
So kwa mawazo yako ni kwamba hawa watu 400,000 walioongezeka wanafanya kusudi kuikomoa serikali?!

Au ni serikali imekuwa ya kindezi kukaa miaka yote bila kuwaza kuwa watu wanaongezeka, mahitaji yanaongezeka, hivyo wanatakiwa mipango yao ilenge mahitaji ya miaka 50 ijayo ili hapa katikati kusiwe na tabu yoyote?!

Sasa wewe swala la foleni haujawahi sikia likiongelewa miaka ya nyuma?!

Wewe unaonekana hata ukiwa na watoto utawatesa sana kufurahia maisha hata kama una uwezo wa kuwapa exposure utataka waishi maisha ya shida kama yako uliyopitia wakati unatafuta.
Ulishawahi kujiuliza swali,kwa nini ukitaka kwenda nje ya nchi lazima utafute vibali?moja wapo ya sababu ni kuzuia idadi ya watu kwenda katika nchi husika.
 
Bila kufanya hivyo,foleni haitaisha, magari yanaongezeka na yanazidi kushuka bei, huko tuendako kila mmoja atakuwa na usafiri utakaosababisha msongamano.
Njia ya tozo ipo majiji mengi makubwa lakini hutumika pale alternative nyingine zote zimeshaboreshwa to the maximum na usafiri wa abiria ni mzuri. Dar haina magari mengi tatizo ni miundombinu na taratibu za uendeshaji tu ziko duni.
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Usafiri wa umma upi ambao ndio utaondosha foleni? Maana tambua ukikata magari private yasiingie mjini maana yake madala dala yawe mara 10 ya idadi iliopo sasa ili watu wawe accomodated!
 
Back
Top Bottom