Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao wamiliki wa magari wanaoishi Kariakoo, Ilala, Upanga nk wakayapeleke Kibaha sio!Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Watalipia hizo gharama kwa mweziNa hao wamiliki wa magari wanaoishi Kariakoo, Ilala, Upanga nk wakayapeleke Kibaha sio!
Jamaa badala ziongezwe barabara anataka watu wapaki si kurudishana nyuma huku?Usafiri wa umma upi ambao ndio utaondosha foleni? Maana tambua ukikata magari private yasiingie mjini maana yake madala dala yawe mara 10 ya idadi iliopo sasa ili watu wawe accomodated!
Si uonevu huu wamepaki majumbani mwao walipie tena?Watalipia hizo gharama kwa mwezi
Kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye maisha ya umasikini kwake kila kitu ni anasa.Roho mbaya tu, halafu mtu kama huyu ndio unakuta anapewa teuzi, lazima madudu ya ajabu yatokee kama huko TRA na TCRA,.....
Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
This level of stupidity is alarming.Watalipia hizo gharama kwa mwezi
Jitahidi umiliki gani hizi fikra finyu zitakwisha AUTOMATICALLY.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Nyie ndo wale mkipata nafasi za uongozi ndo mnatoa maboko na kutunga sera za kijinga.Ugumu unakuwa uko wapi? Kwa upande wako unafikiri suluhisho ni nini?
Huko ndio ukweli hata ulaya na america wanafanya hivoBila kufanya hivyo,foleni haitaisha, magari yanaongezeka na yanazidi kushuka bei, huko tuendako kila mmoja atakuwa na usafiri utakaosababisha msongamano.
Kuna majibu mengine ..yanachekesha kwelikweliSuala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
Kwanza kabisa serikali ibebe jukumu la usafir kama mwenda kasi kila maeneo zifike au treni hii ni njia nzur si lazma gar zitoe kodiNjia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Pale Tazara ni kama ile foleni inatengemezwa na trafiki wa pale Buguruni na TazaraNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Hata kama usafiri wa umma utakuwa kila mahali bila kuzuia magari binafsi yanayoongezeka siku hadi siku, msongamano bado unaweza kuwepo.Vinginevyo, majengo yaliyopo maeneo yanayosababisha misongamano yabomolewe ili kutanua barabara,pamoja na ujenzi wa madaraja ya juu pale penye njia panda n.kKwanza kabisa serikali ibebe jukumu la usafir kama mwenda kasi kila maeneo zifike au treni hii ni njia nzur si lazma gar zitoe kodi
Kopeni pesa tena mjenge ingine,hii nchi tajiri sanaNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
HiWajinga kama nyie ndo mlikuwa mnapelekwa utumwani na kuhasiwa.
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.