Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
 
Suala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
 
Wajinga kama nyie ndo mlikuwa mnapelekwa utumwani na kuhasiwa.
 
Ujinga mtupu,kwa public transport system gani ya maana hapa bongo mpk ufanye hivyo?

Kwa kutegemea hizi mwendokasi choka mbovu,hiace,Treni ya Mwakyembe au ninj?
 
Mpuuzi sana we jamaa, yaani watu unashaurije serikali irahisishe maisha wewe unataka kufanya yawe magumu zaidi.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huu ushauri wako hukufanya Equation kabisa sasa nakuache ukome na coment za wadau pole sana.
 
Alafu serekali itapataje pesa ya kodi inayotoka kwenye mafuta!!??
kama gari nyingi zikipaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…