Fomu anazotaka Odinga kwanini musimpe?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Huu ushindi wa Uhuru naomba uwe wa kweli na usije kutuletea majanga na chuki, Raila amesema hayo mafomu 34a na 34b hayajaambatanishwa na matokeo yanayotangazwa, naomba IEBC wafanye scan ya hizo fomu zote na kumpa Odinga na pia kuzianika hadharani ili ushindi huu ukubalike vizuri.

Maana Raila akianza kuimba imba na kutaja wizi, wafuasi wake wanamskiliza sana na wanaweza kukinukisha.
 
Huyu mzee amehangaika sana leo, akubali tu asitaafu kwa amani
 
anazungumza live muda huu toka westlands, ila sioni raila akiibiwa kura zaidi haamini kama bado hakubaliki
 

Attachments

  • 1502265159641230481486.jpg
    204.2 KB · Views: 33
Mkikuyu mwenzako keshashinda wewe tulia tu. Usianze kuleta mdomo mrefu.
 

Hawata mpa hizo form, maana deviation na variance ya matokeo haya ni constant.
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…