mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Huyo alitakiwa achome hio tyre kwa kagame kule,angejua vurugu maana yake ni nini!!Haya mazombi yatulie kwanza na kusubiri, tayari fomu zinakusanywa na atapewa Raila na Wakenya wote, sasa yameanza kuwasha moto Kisumu, huwa yanachukiza balaa.
![]()
A supporter of Opposition leader Raila Odinga, burns tyres during a protest in Kisumu after their political leader claimed massive fraud in the election, August 9, 2017. /REUTERS