Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo NIDA wapo juu kuzidi Uhamiaji kulingana na huu mlolongo wako?MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,BODI, WAKALA e.t.c
NB:
Cha ajabu hao wa chini ndio wenye maslahi mazuri kuliko wa juu.
Sawa mkuuWatakaotoa ufafanuzi makini ni wakongwe wa 1970s tu ila hawa watoto wataona mapicha picha tu hapa.
MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,BODI, WAKALA e.t.c
NB:
Cha ajabu hao wa chini ndio wenye maslahi mazuri kuliko wa juu.
... nadhani ni majina tu; yoyote ingeweza kuitwa vyovyote. La msingi ni sheria inayoipa nguvu taasisi husika; naming isn't important, I think. Kwa mfano TANROADS ni agency yenye mamlaka kisheria kuhusiana na masuala ya barabara; HESLB vivyo hivyo kwa masuala ya mikopo ya wananfunzi.
Hata Polisi jina rasmi ni Idara ya Polisi (Police Department) vivyo hivyo Idara ya Mkemia Mkuu; TBS (bureau), n.k. wana sheria na mamlaka zao kiutendaji.
Anyway, mtazamo wa mjinga.
UVCCM gombea ubunge basiHao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Magufuli.
Ujue una maswali fikirishi bwana mdogo ila dhumuni lako linashindwa ku meet requirement yangu ya ku dedicate time yangu kujibu hoja yako. ngoja tuone mpaka tamati itakuwaje na wadau wengine watajinasibu vipi,... huenda nikapata wasaa wa kujibu hili.
Inaonekana majukumu ya familia yamekuwa mengi kidogo.Huu ndio wasaa, jibu please.
Sawa. Ninaomba ufafanuzi wako pia kama unajua.Okey
Mkuu, kwa mtitiriko huu wako Mamlaka kama ile ya mapato (TRA) ina-report kwa mkuu wa Taasisi ama mkuu wa Wizara?MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,
Sawa babaNitakujurusha mkuu
Hizo zote TUME, TAASISI, MAMLAKA, WAKALA zipo chini ya wizara husika ambapo mtendaji mkuu ni katibu mkuu.Mkuu, kwa mtitiriko huu wako Mamlaka kama ile ya mapato (TRA) ina-report kwa mkuu wa Taasisi ama mkuu wa Wizara?
Sawa mkuu. Asante kwa ufafanuzi.Hizo zote TUME, TAASISI, MAMLAKA, WAKALA zipo chini ya wizara husika ambapo mtendaji mkuu ni katibu mkuu.
Swali zuri sana, na likijibiwa litatusaidia wengi mno!Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?
(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?
(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?
(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?
(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?
(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?
Kuna tofauti gani hapa wakuu?
NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;
"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"
Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
... nadhani ni majina tu; yoyote ingeweza kuitwa vyovyote. La msingi ni sheria inayoipa nguvu taasisi husika; naming isn't important, I think. Kwa mfano TANROADS ni agency yenye mamlaka kisheria kuhusiana na masuala ya barabara; HESLB vivyo hivyo kwa masuala ya mikopo ya wananfunzi.
Hata Polisi jina rasmi ni Idara ya Polisi (Police Department) vivyo hivyo Idara ya Mkemia Mkuu; TBS (bureau), n.k. wana sheria na mamlaka zao kiutendaji.
Anyway, mtazamo wa mjinga.
... uko sahihi Mkuu; ndio maana nilimalizia kwa kusema ni "mtazamo wa mjinga".hapana mkuu