Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

Authority = the power or right to give orders, make decisions, and enforce obedience.
Commission = a group of people entrusted by a government or other official body with authority to do something.
 
Mamlaka: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards accomplishment
Idara: Inakuwa na Jukumu la Facilitation towards primary objective
Taasisi: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards obligations
Tume: Mara nyingi huwa utendaji wake ni wa Muda Maalum
 
Mamlaka: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards accomplishment
Idara: Inakuwa na Jukumu la Facilitation towards primary objective
Taasisi: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards obligations
Vp kwa wasiofahamu vema lugha ya kiingereza? Watakuelewa kweli mkuu? Mimi mwenyewe bado sijakuelewa mpaka sasa...
 
Mamlaka: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards accomplishment
Idara: Inakuwa na Jukumu la Facilitation towards primary objective
Taasisi: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards obligations
Tume: Mara nyingi huwa utendaji wake ni wa Muda Maalum

Kwa mfano
Tume ya vyuo vikuu, Tume ya Ukimwi, Tume ya mionzi zina muda upi maalum???
 
Mbadala wake ni kuita “MDAs”

Kwenye jamii ya wajuvi mtu akitamka hivyo anapoelezea jambo fulani hueleweka haraka!
 
Rais Magufuli atatufikisha tu kama ndani ya miaka minne ametufikisha uchumi wa kati haitachukua muda kumfikia USA.
 
Rais Magufuli anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sana.
 
Mkuu, Really???

Nadhani ametumia mfano wa mamlaka za maji safi na mazingira/maji taka( Mfano wa DAWASCO,DUWASA,MUWASA etc) ambazo ziko chini ya wizara ya Maji ila ni almost autonomous chini ya bodi zake zinaamua mapato yao na matumizi yao

Ila pia kuna mamlaka ambazo haziingizi pesa na zinaendeshwa kwa mfuko mkuu wa hazina. Sijajua hapo ikoje

Tusubiri majibu zaidi
 
Nadhani ametumia mfano wa mamlaka za maji safi na mazingira/maji taka( Mfano wa DAWASCO,DUWASA,MUWASA etc) ambazo ziko chini ya wizara ya Maji ila ni almost autonomous chini ya bodi zake zinaamua mapato yao na matumizi yao
Sawa mkuu...
 
Utapewa karatasi ya kura hakikisha unampa vema Magufuli na Ccm.
 
Back
Top Bottom