Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,BODI, WAKALA e.t.c
NB:
Cha ajabu hao wa chini ndio wenye maslahi mazuri kuliko wa juu.
Kwa hiyo NIDA wapo juu kuzidi Uhamiaji kulingana na huu mlolongo wako?
 
Mamlaka. Hii inaundwa na vizee vyenye roho mbaya hasa wafanyakazi wa serikali.
Tume. Hii inaundwa na wapigaji ambao huteuliwa kishkaji na mhuni mwenzao. Kwa mfano tume inaweza kuudwa kushuhhulikia upotevu wa shilingi milioni tatu lakini yenyewe ikatumia milioni mia tatu. Tume huundwa na watu wenye longo longo.
Bodi.
Hii inahusu utamu zaidi. Bodi huundwa na mijimama yenye minyama nyama. Bodi Mara nyingi huongelea umbea tu lakini umbea na wanalipwa.
 
MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,BODI, WAKALA e.t.c
NB:
Cha ajabu hao wa chini ndio wenye maslahi mazuri kuliko wa juu.


Wakuu, nyie wote wawili ndio mnazidi kunichanganya hapa aisee. I'm in a state of total confussion.
 
Hao walikuwa wanatumiwa na Mabeberu sasa Mabeberu yamewaingiza king baada ya kukubali uzalendo wa Rais Magufuli.
 
Ujue una maswali fikirishi bwana mdogo ila dhumuni lako linashindwa ku meet requirement yangu ya ku dedicate time yangu kujibu hoja yako. ngoja tuone mpaka tamati itakuwaje na wadau wengine watajinasibu vipi,... huenda nikapata wasaa wa kujibu hili.


Huu ndio wasaa, jibu please.
 
MFUMO WA WIZARA UKO HIVI:
WIZARA>VITENGO > IDARA >TAASISI,MAMLAKA,
Mkuu, kwa mtitiriko huu wako Mamlaka kama ile ya mapato (TRA) ina-report kwa mkuu wa Taasisi ama mkuu wa Wizara?
 
Magufuli aliposema yeye ni kiongozi anayewajali sana wanyonge na watu wa chini ulidhani anatania?
 
Hizo zote TUME, TAASISI, MAMLAKA, WAKALA zipo chini ya wizara husika ambapo mtendaji mkuu ni katibu mkuu.
Sawa mkuu. Asante kwa ufafanuzi.

Sasa kwanini zina majina yanayo tofautiana (TUME, TAASISI, MAMLAKA, WAKALA) ilhali zote zipo chini ya mtu mmoja ambaye ni waziri?
 
Ambaye angemsumbua Rais Magufuli kwenye Uchaguzi labda yule mama wa ujerumani tu.
 
Swali zuri sana, na likijibiwa litatusaidia wengi mno!
 

hapana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…