Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

Rais Magufuli anafanya kazi ya ziada kuhusu ardhi na sasa inarudi kwa Wananchi maana mikoa mingi Wananchi waliteseka sana.
 
Amka ndotoni Mkuu Kwa hii CCM ya Magufuli, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98%.
 
Tumpongeze Rais Magufuli kwa kutupeleka uchumi wa kati.
 
Magufuli hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.
 
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Magufuli akitutetea sisi wanyonge.
 
Swali zuri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…