Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa wapo tangu liniHabari, nimeona taarifa nyingi sana na watu kujiunga katika uwekezaji wa kampuni inayoitwa F.I.C football Club Investments.
Je, ni sehemu sahihi au ndo Kalynda mpya na Mr. Kuku Tena!
Habari, nimeona taarifa nyingi sana na watu kujiunga katika uwekezaji wa kampuni inayoitwa F.I.C football Club Investments.
Je, ni sehemu sahihi au ndo Kalynda mpya na Mr. Kuku Tena!
View attachment 3130546
Vipi server haifunguki ama?Tayari,vilio vimenza,Fic dead and Gone!
Sasa watu wataishi vp bila kuwaibia wengine, Mm naona sawa tuu.Manguruwe yanaenda kupigwa tena kisha yarudi hapa kulia.
Hii nchi ina watu wajinga sijawahi kuona.