For 1500 years .... Hakuna Jambo La Kushtua Dunia

Yap.
Kwa haraka haraka bado dunia ina safari ndefu sana maana kizazi cha 3 na 4 vimetajwa na lazma vitafikia ndo mwana wa Adam atakapokuja..
Sasa Kama ndo Hivyo Miujiza Ya Kushtua Dunia Mbona imekwama.. Hakuna Mpak sa hv.. maana kwa Maelezo ya Cyrus ni kwmb hakuna Kwa Sababu Yesu anakaribia
Yap.
Kwa haraka haraka bado dunia ina safari ndefu sana maana kizazi cha 3 na 4 vimetajwa na lazma vitafikia ndo mwana wa Adam atakapokuja..
 
Yap.
Kwa haraka haraka bado dunia ina safari ndefu sana maana kizazi cha 3 na 4 vimetajwa na lazma vitafikia ndo mwana wa Adam atakapokuja..
haya maandiko ya vizazi yanapatikana wp mkuu?

hopely ntakuwepo hadi hicho kizaz cha 4 mnamo mwaka 4016
 
Je Yesu alijishughulisha siasa za Enzi zile?
Dah swali jepesi sana labda tukianza na maana siasa jibu ni kuwa yesu Kama kuhani mkuu siasa ilimhusu ndo maana walimsulubisha koz alijiita mfalme Wa wayahudi ingawa wale watu hawakuelewa maana halisi ya hilo neno pia ktk biblia tunasoma manabii ambao walikuwa wafalme yaani wakitawala pia rejea kipindi cha Israel kabal ya Saul mfalme Wa kwanza nchi iliongozwa na Mungu mwenyewe kupitia manabii so Mungu ni mwanzilishi Wa uongozi so usishangae viongozi Wa imani wanapoingia ktk siasa wakati Fulani
 

UFALME wa Mungu ni nini?
 
mkuu hujamuona nabii tito? naskia ana kanisa lake na kusali ukiwa mtupu
 
mara nyingi alitokea na malaika mkuu jibril(aleysalam) na wakazungumza ana ana akimpa wahhi toka kwa Mungu.
Aisee alikuwa akitokewa na vibwengo siyo malaika jibril(Gabriel). Malaika huyu hawezi kutoa jumbe tofauti kwenye Biblia kivyake na Qur'an kivyake.
 
Jesus is coming soon.....
Unaonaje Kwa watu wasiokuwa na Imani Kabisa na Yesu.. Yaani Hawamtambui kabisa.. Na hata kama Akija hawezi kuwahukumu maana Huwezi kumhukumu mtu asiyekujua wewe na Sheria Zako
 
Bin adam wa siku hizi hawaamini miujiza kwa kifupi ni SUGU
 
Unaonaje Kwa watu wasiokuwa na Imani Kabisa na Yesu.. Yaani Hawamtambui kabisa.. Na hata kama Akija hawezi kuwahukumu maana Huwezi kumhukumu mtu asiyekujua wewe na Sheria Zako
Mkuu RGforever

Hiki ni kipindi cha Rehema na Neema ya Bwana Yesu Kristo.

Imeandikwa Kila mtu atalisikia neno la Mungu, sasa yampasa huyo mtu mwenyewe "kugeuka" na kuamini.

Na hukumu hipo, na kila mwanadamu atahukumiwa.
 
Acheni kudanganya watu juu ya Kakobe!

Huyu alimnadi Mrema eti ndo mkombozi wa Watanzania?

Huu ndo unabii??

Acheni kupotosha watu!
Watu wana mihemko ya dini zao jamani hadi hawaoni wala kusikia!
 
Mbona miujiza IPO inafanywa Na akina mbonke Leonard, kakobe, mwingira, Mzee wa yesu, Mzee wa upako nabii flora? Ina maana hujapata wasikia hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…