For how long should we....?

For how long should we....?

Habari zenu.
Nimekuwa nikijiuliza sana juu ya mahusiano kati ya mke na mume ndani ya ndoa kuna vitu nimeshinmdwa kabisa kuvipatia majibu. Naombeni mnisaidie ndugu zangu.

Eti for how long tunatakiwa kusamehe na kusahau kwa kosa ambalo ni la kulirudia? Namaanisha kwamba kama wewe unachukia mpenzi wako kufanya kitu flani na ukamwambia jinsi unavyoumia akifanya kitu hicho, kwa hali ya kawaida mimi nilikuwa ninafikiri kuwa ukishamwambia kikukeracho atajitahidi juu chini katikati pembeni ili asikifanye tena..... kumbe lah kuna ambao wao huwa ni kawaida

Mf. mtu mwenye tabia ya kuchelewa kurudi majumbani bila kutoa taarifa au tabia yake ya kutoka kwenda saluni bila kukuaga wala kutoa taarifa!

unatakiwa kusamehe kila anapolifanya kosa hilo au ?
Na je anapolirudia huiwa anamaanisha nini?

wewe mwenzi wako akiwa anakufanyia hayo utajisikiaje na utaamua kitu gani?

Tafadhali nisaidieni.

Ni kweli inakera pale mwenza anaporudia kosa hilo hilo mara kwa mara. Inapotokea hali ya 'kosa' kujirudia rudia mara kwa mara, then kuna kila sababu ya kuwa makini zaidi na kujichunguza wewe binafsi kama sehemu ya ndoa na kisha mwenza wako (Ili usijikute unataka kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako wakati kwako kuna boriti!).

Usipokuwa makini unaweza kuwa unaaddress dalili za tatizo badala ya kuaddress tatizo lenyewe.Hivyo ni vema kufanya uchunguzi (positively) wa kutosha kabla ya kufikia conclusion ya either kuvunja mahusiano, kutoa 'adhabu' au kulipiza kisasi.

Kwenye ndoa kuna mambo mengi ambayo yanachangia wanandoa kubehave namna hii au ile. Kwa mtu wa nje si rahisi kujua mambo yanayoendelea ndani bali tunaona tu dalili kwa nje. Njia nzuri ya kuweza kujua kiini hasa cha tatizo ni kuongea na wanandoa (au kama ni wanandoa wenyewe kukaa chini na kureview mahusiano yao).

Hivyo MJ1, kama unataka (na unauwezo wa) kusaidia ndoa ya dadako, ni vema kwanza ukawa na neutral position na kujaribu kuongea na wote wawili kwa nyakati tofauti. Hii itakuwezesha kujua grivances za kila mmoja against mwenzake. Trust me hiyo tabia ya shemeji yako kuchelewa kurudi, kuna uwezakano mkubwa ni reaction towards tabia za dadayako!
 
[/COLOR]



yaani nikae kwa wacwac nikiwaza jamaa ana nyumba ndogo? khaa huko ndio cpo kabisa, awe na ndogo au kubwa matumizi yangu na wanangu yako pale pale..na cmbani wala nini na hilo yeye analijua but kama hakieleweki ndani na me ctamuelewa....naomba ncendelee na huu mjadala nitaongea yacyostahili kuongelewa hapa....


Sawa lakini tunachojaribu kusema nyamayao, isiwe kama ni formula isiyobadilika kuwa lazima yeye slipe schools fees, bili za maji, umeme, etc, nguo, nk, na huku wewe pia una kipato, unakifanyia nini? why, once in a while usimwambia 'mwezi huu mi ntalipa bili, we lipa labda kodi ya nyumba' na vitu kama hivyo? Ukimkomalia kuwa matumizi 'yanamhusu' lazima kuna wakati 'atachoka' na ndo hapo vibinti venye hela zao vitamweka ndani kijumla...na matumizi utaendelea kupata, si ndo 'inamhusu'?

Nyamayao usiondoke.................
 
wewe mimi msimamo wangu ni uleule nitairejesha kauli yangu.
Akina mama mnabadilika sana mkiolewa mnajisahau ukisha zaa mtoto ndo kwisha kabisa umodel wote unaupoteza nini kifanyike Nyamayao?

si wote Fidel,ingawa wengi wao ni kweli wanajisahau...ukishazaa mabadiliko kidogo yatatokea kwenye mwili, nichukulie kama mie niliongezeka lakini nilijitahidi sana icpitilize na nikafanikiwa vya kutosha.....cha ufanya wacjiachie sana na cku hizi naona wanawake wanajitahidi wengi wakitoka uzazi wamenawiri tu sio kupoteza hali yake aliyokuwa nayo awali.
 
Tatizo la Nyamayao mbishi sana....nimeshuhudia nyumba ndogo inamlea baba na familia yake wewe acha bana kupenda kubaya dingi kahamia kabisa kwa nyumba ndogo inamlea kwa kila kitu mpaka inamwachia usafiri.

Baelezee komredi, unajua hivi vitu watu wanadhani havipo, lakini ukivikaribisha mbona kama ivo! sasa uyo dingi ataanzaje kurudi na kwa kipi hasa!😉
 
.....cha ufanya wacjiachie sana na cku hizi naona wanawake wanajitahidi wengi wakitoka uzazi wamenawiri tu sio kupoteza hali yake aliyokuwa nayo awali.

Ndo maana mimi iwa najiuliza mwanamke akisha zaa basi ndo anakuwa anakata tamaa? Maana angalia msichana mrembo mzuri mwenye mambo yetu yaleeee nayo yapenda akizaa tu kwisha kazi hata kuvaa inakuwa kazi anajiachia achia tu hivi mwanamke akisha zaa ndo mwisho wa kujipenda?
 
Ni kweli inakera pale mwenza anaporudia kosa hilo hilo mara kwa mara. Inapotokea hali ya 'kosa' kujirudia rudia mara kwa mara, then kuna kila sababu ya kuwa makini zaidi na kujichunguza wewe binafsi kama sehemu ya ndoa na kisha mwenza wako (Ili usijikute unataka kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako wakati kwako kuna boriti!).

Usipokuwa makini unaweza kuwa unaaddress dalili za tatizo badala ya kuaddress tatizo lenyewe.Hivyo ni vema kufanya uchunguzi (positively) wa kutosha kabla ya kufikia conclusion ya either kuvunja mahusiano, kutoa 'adhabu' au kulipiza kisasi.

Kwenye ndoa kuna mambo mengi ambayo yanachangia wanandoa kubehave namna hii au ile. Kwa mtu wa nje si rahisi kujua mambo yanayoendelea ndani bali tunaona tu dalili kwa nje. Njia nzuri ya kuweza kujua kiini hasa cha tatizo ni kuongea na wanandoa (au kama ni wanandoa wenyewe kukaa chini na kureview mahusiano yao).

Hivyo MJ1, kama unataka (na unauwezo wa) kusaidia ndoa ya dadako, ni vema kwanza ukawa na neutral position na kujaribu kuongea na wote wawili kwa nyakati tofauti. Hii itakuwezesha kujua grivances za kila mmoja against mwenzake. Trust me hiyo tabia ya shemeji yako kuchelewa kurudi, kuna uwezakano mkubwa ni reaction towards tabia za dadayako!


Mkulu hapa haswa ndio umegusa kiini cha tatizo.
 
Sawa lakini tunachojaribu kusema nyamayao, isiwe kama ni formula isiyobadilika kuwa lazima yeye slipe schools fees, bili za maji, umeme, etc, nguo, nk, na huku wewe pia una kipato, unakifanyia nini? why, once in a while usimwambia 'mwezi huu mi ntalipa bili, we lipa labda kodi ya nyumba' na vitu kama hivyo? Ukimkomalia kuwa matumizi 'yanamhusu' lazima kuna wakati 'atachoka' na ndo hapo vibinti venye hela zao vitamweka ndani kijumla...na matumizi utaendelea kupata, si ndo 'inamhusu'?

Nyamayao usiondoke.................


yaani hapo mie ndio cpafikiriii kabisaa, kama wa kuondoka wa kuondoka tu hata umfanyaje, mbona nimeshaeleza jamani kuwa "kuna mambo naweza msaidia lakini icwe kila wakati" may b kutokana na kipato changu kulinganisha na chake, halafu pia uelewe cmkomalii bali ndivyo ilivyokuwa toka mwanzoni yeye kwa cku kama ya leo anataka ajue ni nini na nini knahitajika na anamalizana na wewe mpaka tena mwezi ujao tarehe kama hizi....hiyo sentence yako ya mwisho huyo mwanaume wa kulelewa mie wa nn?
 
Ndo maana mimi iwa najiuliza mwanamke akisha zaa basi ndo anakuwa anakata tamaa? Maana angalia msichana mrembo mzuri mwenye mambo yetu yaleeee nayo yapenda akizaa tu kwisha kazi hata kuvaa inakuwa kazi anajiachia achia tu hivi mwanamke akisha zaa ndo mwisho wa kujipenda?


la hashaa, kwanini iwe ndio mwisho? sema majukumu yanaongezeka lakini unatakiwa ujipange uende sawa.
 
la hashaa, kwanini iwe ndio mwisho? sema majukumu yanaongezeka lakini unatakiwa ujipange uende sawa.

sasa hapo ukisha zaa basi hata huendi na wakati fashion ndo kama hivyo zinakupita kisa eti majukumu hivi kweli?
 
Baelezee komredi, unajua hivi vitu watu wanadhani havipo, lakini ukivikaribisha mbona kama ivo! sasa uyo dingi ataanzaje kurudi na kwa kipi hasa!😉



jamani nyie, sasa unavikaribisha kwa lipi? kwamba ushindwe kumwambia mr matumizi ya ndani yanavyotakiwa kwa kuogopa kumwambia ataenda nje na kupata mwingine wa kum2nza? haaa mmeniacha njia panda hapo...mtaishi kwa hofu/wacwac kisa nini?
 
sasa hapo ukisha zaa basi hata huendi na wakati fashion ndo kama hivyo zinakupita kisa eti majukumu hivi kweli?

ndio maana nikasema unatakiwa kujipanga uwende sawa swity....majukumu kuongezeka haimaanishi na wewe ujiachie.
 
ndio maana nikasema unatakiwa kujipanga uwende sawa swity....majukumu kuongezeka haimaanishi na wewe ujiachie.

Kwani unapokuwa mjamzito unakuwa bado hujajipanga? Ukizaa ndo uanze tena kujipanga? Si unaendelea kama kawa na ratiba yako ya awali.
 
Duh mmefikia huku!

nyamayao mbona hii ni mada nyingine kali!! Hongera shost maana naona Fidel alivyokushikia bango.

BTW: Ningependa kuchangia kiduchuuu katika hili. Wanaume mnapaswa pia kuelewa kuwa mke kuwa na kazi si kigezo cha kuacha kumtimizia mahitaji yake muhimu kisa anazo pesa! Mkiweza pesa za wake zenu pangeni nao budget - kuwa mama pesa zako zitumie kwa hiki na hiki mie ntacover hili na hili but be smart jitahidi kucover yale ambayo ni muhimu zaidi mfano ada za watoto, kodi ya nyumba, umeme na hata mahitaji mengine ya familia kama matibabu n.k. Ya mama mwambie akave vitu vingine nyepesi vyepesi mf. saluni yake na watoto, creation, kuandaa birthday parties and presents, kununua zawadi za kupeleka kwenye mialiko tofautitofauti mliyoalikwa. Kwa nini nashauri hivi ili kuwasaidia kubakia kichwa cha nyumba kwani mama hatakuwa na sauti ya kujigamba kuwa yeye ndiye anayesomesha watoto, lipa kodi ya nyumba e.t.c. Heshima yako itadumu daima.

La sivyo utakuwa ukibwatuka bwatuka, mama anawaza kwanza nalifuga tu hili nyumbani hata- hata kodi halijui nalipa kiasi gani! hapa unabakia kichwa cha nyumba jina tu au watoto wa siku hizi wanasema 'mwanaume suruali'
 
Duh mmefikia huku!

nyamayao mbona hii ni mada nyingine kali!! Hongera shost maana naona Fidel alivyokushikia bango.

BTW: Ningependa kuchangia kiduchuuu katika hili. Wanaume mnapaswa pia kuelewa kuwa mke kuwa na kazi si kigezo cha kuacha kumtimizia mahitaji yake muhimu kisa anazo pesa! Mkiweza pesa za wake zenu pangeni nao budget - kuwa mama pesa zako zitumie kwa hiki na hiki mie ntacover hili na hili but be smart jitahidi kucover yale ambayo ni muhimu zaidi mfano ada za watoto, kodi ya nyumba, umeme na hata mahitaji mengine ya familia kama matibabu n.k. Ya mama mwambie akave vitu vingine nyepesi vyepesi mf. saluni yake na watoto, creation, kuandaa birthday parties and presents, kununua zawadi za kupeleka kwenye mialiko tofautitofauti mliyoalikwa. Kwa nini nashauri hivi ili kuwasaidia kubakia kichwa cha nyumba kwani mama hatakuwa na sauti ya kujigamba kuwa yeye ndiye anayesomesha watoto, lipa kodi ya nyumba e.t.c. Heshima yako itadumu daima.

La sivyo utakuwa ukibwatuka bwatuka, mama anawaza kwanza nalifuga tu hili nyumbani hata- hata kodi halijui nalipa kiasi gani! hapa unabakia kichwa cha nyumba jina tu au watoto wa siku hizi wanasema 'mwanaume suruali'


ndio tumefikia huku MJO...huyu Fidel utamweza bac.......kwangu mie sio kumuita mwanaume suruali, mie nachukulia hayo mambo kama ni wajibu wake kabisa kabisa, nitamsaidia pale inapobidi na iczoeleke, mana ukimzoesha ndio yatakuwa kama ya sis ulivyosema ikifika mwisho wa mwezi jamaa hatoi ma2mizi lakini sis angemzoesha kwamba ni wajibu wake mbona wangeenda sawa tu.
 
Duh mmefikia huku!

nyamayao mbona hii ni mada nyingine kali!! Hongera shost maana naona Fidel alivyokushikia bango.

BTW: Ningependa kuchangia kiduchuuu katika hili. Wanaume mnapaswa pia kuelewa kuwa mke kuwa na kazi si kigezo cha kuacha kumtimizia mahitaji yake muhimu kisa anazo pesa! Mkiweza pesa za wake zenu pangeni nao budget - kuwa mama pesa zako zitumie kwa hiki na hiki mie ntacover hili na hili but be smart jitahidi kucover yale ambayo ni muhimu zaidi mfano ada za watoto, kodi ya nyumba, umeme na hata mahitaji mengine ya familia kama matibabu n.k. Ya mama mwambie akave vitu vingine nyepesi vyepesi mf. saluni yake na watoto, creation, kuandaa birthday parties and presents, kununua zawadi za kupeleka kwenye mialiko tofautitofauti mliyoalikwa. Kwa nini nashauri hivi ili kuwasaidia kubakia kichwa cha nyumba kwani mama hatakuwa na sauti ya kujigamba kuwa yeye ndiye anayesomesha watoto, lipa kodi ya nyumba e.t.c. Heshima yako itadumu daima.

La sivyo utakuwa ukibwatuka bwatuka, mama anawaza kwanza nalifuga tu hili nyumbani hata- hata kodi halijui nalipa kiasi gani! hapa unabakia kichwa cha nyumba jina tu au watoto wa siku hizi wanasema 'mwanaume suruali'

Ngoja nifikirie nitarudi....
 
Mkiweza pesa za wake zenu pangeni nao budget - kuwa mama pesa zako zitumie kwa hiki na hiki mie ntacover hili na hili but be smart jitahidi kucover yale ambayo ni muhimu zaidi mfano ada za watoto, kodi ya nyumba, umeme na hata mahitaji mengine ya familia kama matibabu n.k. Ya mama mwambie akave vitu vingine nyepesi vyepesi mf. saluni yake na watoto, creation, kuandaa birthday parties and presents
'mwanaume suruali'

Mwana wewe umeongea vizuri na jambo la msingi kwa kweli kama si mbolea hehehe sasa tatizo la Nyamayao ni kumchuna mmewe eti pesa anazo pata zote ni za kwake yeye Nyamayao hakuna cost sharing hata kiduchu mmewe huyo huyo amlipie pesa za salon,alipe vocha kwenye kimeo chake Nyamayao ampe nauli au amjazie mafuta wiki nzima kila kitu mmewe acover sasa hapo si kumchuna mmewe au unaonaje? ndo maana mm nikasema kama ndo hivyo ni bora ubaki nyumbani tu kama housegirl kuliko kusema unaenda kazini alafu mimi nagharamia kila kitu.
 
Mwana wewe umeongea vizuri na jambo la msingi kwa kweli kama si mbolea hehehe sasa tatizo la Nyamayao ni kumchuna mmewe eti pesa anazo pata zote ni za kwake yeye Nyamayao hakuna cost sharing hata kiduchu mmewe huyo huyo amlipie pesa za salon,alipe vocha kwenye kimeo chake Nyamayao ampe nauli au amjazie mafuta wiki nzima kila kitu mmewe acover sasa hapo si kumchuna mmewe au unaonaje? ndo maana mm nikasema kama ndo hivyo ni bora ubaki nyumbani tu kama housegirl kuliko kusema unaenda kazini alafu mimi nagharamia kila kitu.


mengi umenionea kubwa zaidi ndio hilo....jamani jamani Fidel mbona hivyo? nikueleze mara ngapo? ""namsaidia pale panapostaili na icwe mazoea"..au unataka kujua namsaidia nini au kipi?
 
Duh mmefikia huku!

nyamayao mbona hii ni mada nyingine kali!! Hongera shost maana naona Fidel alivyokushikia bango.

BTW: Ningependa kuchangia kiduchuuu katika hili. Wanaume mnapaswa pia kuelewa kuwa mke kuwa na kazi si kigezo cha kuacha kumtimizia mahitaji yake muhimu kisa anazo pesa! Mkiweza pesa za wake zenu pangeni nao budget - kuwa mama pesa zako zitumie kwa hiki na hiki mie ntacover hili na hili but be smart jitahidi kucover yale ambayo ni muhimu zaidi mfano ada za watoto, kodi ya nyumba, umeme na hata mahitaji mengine ya familia kama matibabu n.k. Ya mama mwambie akave vitu vingine nyepesi vyepesi mf. saluni yake na watoto, creation, kuandaa birthday parties and presents, kununua zawadi za kupeleka kwenye mialiko tofautitofauti mliyoalikwa. Kwa nini nashauri hivi ili kuwasaidia kubakia kichwa cha nyumba kwani mama hatakuwa na sauti ya kujigamba kuwa yeye ndiye anayesomesha watoto, lipa kodi ya nyumba e.t.c. Heshima yako itadumu daima.

La sivyo utakuwa ukibwatuka bwatuka, mama anawaza kwanza nalifuga tu hili nyumbani hata- hata kodi halijui nalipa kiasi gani! hapa unabakia kichwa cha nyumba jina tu au watoto wa siku hizi wanasema 'mwanaume suruali'

Duh ..hapo tu..ndopanantia mashaka..kumbe kuwa kichwa cha nyumba ndo ikibidi ufanye hayo? mbona nkuna wengine wanafanya hayo na bado 'heshima hakuna' au kuna something elso missing, probably more important?

Ni nini hasa kinamfanya mwanamke a-appreciate kuwa mumewe ni 'kichwa cha nyumba'?....just thinking kinyume nyume..
 
ndio tumefikia huku MJO...huyu Fidel utamweza bac.......kwangu mie sio kumuita mwanaume suruali, mie nachukulia hayo mambo kama ni wajibu wake kabisa kabisa, nitamsaidia pale inapobidi na iczoeleke, mana ukimzoesha ndio yatakuwa kama ya sis ulivyosema ikifika mwisho wa mwezi jamaa hatoi ma2mizi lakini sis angemzoesha kwamba ni wajibu wake mbona wangeenda sawa tu.

ni kweli kabisa nyamayao unayosema ni sawa na nafikiri wanaume wengi wanakumbwaga na ugonjwa wa kusahau majukumu yao mpaka pale atakapojikuta heshima inapungua ndani ya nyumba ndio utamsikia akijitutumua ' mimi kichwa cha nyumba' laiti wangelijua majukumu yanayoendana na hiyo title ingekuwa vizuri sana. Sisemi wanaume wote ila wa siku hizi wengi ni michosho tu! Anataka umgharamie au ajigharamie yeye apendeze kitaani wakati majukumu muhimu hayajatekelezwa.

Hii inanikumbusha kaka yangu mmoja ambaye yeye alikuwa hajui mwanae (wa miaka 2) anakula nini, anavaa nini wala ameendaje shule ila yeye mwenyewe kila mwisho wa mwezi anaingia pale sijui panaitwaje (JMall pale kuna duka la nguo za kina baba masuti ya kufa mtu toka Italy n.k) akitoka humo ana suti zisizopungua tatu sikwambii mashati na suruali za kisasa! akiulizwa anadai yeye anapaswa kupendeza kwa kuwa anatoka kila siku kwenda kazini wifi na watoto wanakaa nyumbani. Nilichoka

sasa mtu wa hivi jamani anafaa kweli? na bado kiafrika anahesabiwa ni kichwa cha nyumba ati!
 
Back
Top Bottom