Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
mengi umenionea kubwa zaidi ndio hilo....jamani jamani Fidel mbona hivyo? nikueleze mara ngapo? ""namsaidia pale panapostaili na icwe mazoea"..au unataka kujua namsaidia nini au kipi?
haya mama lakini simu alias kimeo usishangae sana hata kama unakuwa na blackberry uswazi tunaita kimeo hata kama una philips savy sisi uswazi tunaita kimeo. Haya mama nimekupata sema tu unamsaidia kutokana na uwezo wa kipato chako hapo sawaaaaaa. Nenda katulize roho mi nawahi saba saba