For how long should we....?

For how long should we....?

Ndo maana nawashaurigi watu, do not waist time because time is not waiting for you. Mwenzio akimwaga ugali wewe mwaga mchuzi mambo mengine mbele kwa mbele. Kwa nini mtu usijipe raha na mda wenyewe tuliopewa na Mwenyezi Mungu ni limited.

Tatizo hapa mama wanawake wanapenda mno kuliko wanaume na wanawake wana wivu mno tena sana ndo maana wanaumia moyoni kitu kidogo jamaa karudi kachoka inakuwa taabu. Kikubwa hapa ni wivu tu.
 
ndoa hizi! mie hiyo ctuation niliipitia kwa sana, kuna wakati mtu unatakiwa upunguze/uache kulalama, mana kama ameamua kufanya hivyo ni atafanya tu mpaka atakapojichokea atatulia mwenyewe, hata mie niliwahi kuuliza/kuhoji sana kuhusu tabia hii kwa mr , nikaona hajali kwa wakati huo, ilifika wakati cmuulizi lolote amerudi/hajarudi sihoji, na mie nikitaka kutoka natoka bila kutaarifu lolote, alikuja aka2lia mwenyewe na ndipo 2lipoenda sawa na hajarudia tena!

Dada hapa nimekupata kabisa dada and I salute you for that but inawezekana Mr wako hakuwa anakufuatilia kama shem wangu!. Shem huyu kufanya afanye yeye, akifanya dada ugomvi yaani dada hata atoke kwenda hapo dukani umbali wa dk 5 atasemwa hajaaga na maneno chungu mbovu kuwa ana vidume sipati picha angefanya kama wewe ulivyokuwa unafanya si atazua balaa?

Lakini nafikiri ni njia nzuri ya kumrekebisha ngoja ntaipropose kwa sisy nisikie atachosema.
 
hehehe aliniambia Masa na wewe bado unasubili ni kweli Penny?
Aaa wapi mimi nipo tayari ndani...tena kwa msimamo kwelikweli, shemeji yenu akileta za kuleta i deal with him parpendicular.
 
Mi mbona Mwana unaufahamu msimamo wangu tokea longtime mi navuluga mtu wallah na anafungasha vilago na anabeba mfuko wa rambo.
Tatizo la shemeji yako amepata pesa ukubwani si unajua "maskini akipata ****** hulia mbwata"

Na kweli!
 
Aaa wapi mimi nipo tayari ndani...tena kwa msimamo kwelikweli, shemeji yenu akileta za kuleta i deal with him parpendicular.

hahahaha duh kazi kweli kweli unapiga nondo nini? yawezekana wewe mwanamke wa shoka kha! jamaa hafurukuti akitoka kazini ana nyosha nyumbani safi sana kwi kwi kwi.
 
Mh Keizer sikujua kama wewe nawe u guru katika masuala ya mahusiano! Aksante sana yani hapa umenifumbua akili wajua sikuwahi kufikiria kama majirani wanaweza kuhisi ndivyo sivyo! Na vile dada yangu wanaishi nyumba za kupanga basi akirudi muda wowote lazima majirani watasikia tu!! Ah kama ni aibu basi keshajiaibisha. Tabia hii shemeji kaianza baada ya mambo yake kuwa safi, now amenunua kibaloon basi kero anarudi muda atakao tena akiwa njwiii! Dada anatamani hata kutoboa matairi siku moja!

Ohoo...kumbe sasa ndo info nilikuwa naitafuta hii, sasa naweza kuconnect dots, haya mambo ya ukubwani masikini, duh...naona mdogo wangu Fidel kashaliongelea hili kidogo.

Kuna vitu vingine mtu akivipata inakuwa disgrace. Mshaurini aache kabla hajagonga na ilo baluni akapata kilema (hatuombei hilo)😎
 
Nami pia ntakuita chumbani !!😕
wow..nadhani sisi tutang'atana vizuri tu, mdogo wako Kelly apo juu anataka kunipeleka sipo kabisa LOL....ntakuja bila hodi usifunge mlango hahahahaha😎
 
Wote wanamatatizo kiujumla , kwanza kabla ya kuoana mnasomana na mnaridhiana kwamba niko tayari kwa haya . Kwa maana nyingine unakuwa unafahamu mapungufu yake vinginevyo umeuvaa mkenge. Msaada sasa kwako wewe utesekaye mwambie waziwazi kuwa sio sawa na mwisho wake ni off. Wewe unayekerwa na shem mtokee mweleze kuwa siyo mambo lakini uwe makini kwani walikubaliana kuishi kwa shida na raha . Na hizo ni sehemu ya shida zenyewe anazotakiwa kuvumilia si umenisoma vinginevyo angesema niko tayari kwa raha tuu jamaa angeahirisha wongo??? Utaniambia

Mkuu Sambah, apo sawa lakini kwa hilo la Mwanajamii kumtokea shem wake siliafiki sana kwa sababu, mara nyingi haya mambo ya watu wawili, akimwingilia shemeji yake hapa italeta tatizo lingine, ninavomfahamu Mwanajamii.....inawezekana tu shemeji akamletea 'tabia mbaya' so ikawa kesi juu ya kesi.

kama ni zaidi, matroni wapo, wao ndo wa kwanza kuwaendea, lakini pia kama umeona tatizo ni kuwa jamaa mamo yamemnyookea ukubwani akashindwa kuyahandle, si ajabu ukute anakuwa tu na wajamaa wala hada ka small house....
 
wivu uwe na kiac utakuwa wa kawaida, yani uclete madhara.

Mmh..nyamayao naona shorthand inaanza 'kukuharibu' chunga chunga usije ukashindw akuandika insha lol

nikirudi kwenye point ni kweli wivu uwepo lakini ule 'mzuri' sio ule wa kupitiliza, huo unaitwa gubu sasa....na ni mbaya kweli kweli!
 
Dada hapa nimekupata kabisa dada and I salute you for that but inawezekana Mr wako hakuwa anakufuatilia kama shem wangu!. Shem huyu kufanya afanye yeye, akifanya dada ugomvi yaani dada hata atoke kwenda hapo dukani umbali wa dk 5 atasemwa hajaaga na maneno chungu mbovu kuwa ana vidume sipati picha angefanya kama wewe ulivyokuwa unafanya si atazua balaa?

Lakini nafikiri ni njia nzuri ya kumrekebisha ngoja ntaipropose kwa sisy nisikie atachosema.


wanaume wengi wanapenda sana kufatilia ishuz za wake zao, hata mr alikuwa anafatilia kwa karibu sana! alikuwa akifika home akinikosa ni sms au cal ya kwanini haupo home mpaka muda huu na uko uliko unafanya nini na kwa ruhusa ya nani, jibu lilikuwa nipo mahali fulani nafanya ishu fulani anagomba hapo nikifika home kimya asemeee weee mie walaaa, akaja kuona atakosa mwana kwa maji ya moto......lol....dada hata dukani ni ugomvi?...haaa alimuendeeza vibaya kuanzia mwanzoni ndio mana anamfanyia vitimbi.....mwambie dada akomalie ndoa asiache ndoa imkomalie....
 
Tatizo lenu iwa mnakuwa na wivu mpaka unapitiliza maelezo

wivu upo kote kote babake, wanawake/wanaume! huwezi sema una mapenzi ya kweli/dhati kwa mtu wako bila kuwepo neno "wivu"...
 
Back
Top Bottom