For JamiiForums Mobile users

Asee naona mmeanza WIZI wa wazi wazi eeh? And hebu angalieni hili jambo.

Huyu mtoto amejaribu kutumia avatar yangu kwake.
 
Last edited:
Admin angalieni hawa wezi wa picha za watu humu ni hatari sana.
 
Last edited:
Hivi thread hii na ile ya malalamiko inatofauti?......
Anyway mimi Avatar ya @Yo Yo ilitaka kunisababishia hasara ya Laptop yangu maana baada ya kutandika viroba vya kutosha niliipoingia JF nikaona kuna kamdudu kanazunguka kwenye screen yangu kila nikikachapa hakifi! kumbe Yo Yo huyo!!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…