Hivi thread hii na ile ya malalamiko inatofauti?......
Anyway mimi Avatar ya @Yo Yo ilitaka kunisababishia hasara ya Laptop yangu maana baada ya kutandika viroba vya kutosha niliipoingia JF nikaona kuna kamdudu kanazunguka kwenye screen yangu kila nikikachapa hakifi! kumbe Yo Yo huyo!!....