For JamiiForums Mobile users

kwa leo niishie hapa
 
Last edited:
Mimi nataka kujuzwa jinsi gani inatokea ile this message was deleted by kunguni wa ulaya.
 
Mimi nataka kujuzwa jinsi gani inatokea ile this message was deleted by kunguni wa ulaya.

Ukienda kwenye hii msg yako kama unataka ku-edit, kuna sehem pameandikwa "Delete". Click hapo utakuwa umeifuta hii msg yako.

Sasa ukipitia hiyo thread ndio utaona kuwa pameandikwa hivyo ulivyotaka paandikwe kama hivi mkuu...

"This message sjui ni was sjui has been deleted by @kunguni wa ulaya".

That's That.
 
Mkuu KIOO Mimi natumia jf app kwenye simu.hiyo option siioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…