For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

Aah nahamia mapenzin kulee..huku leo mechemka
 
kupata rangi tofauti tofauti wekeni code hizi mbele ya alama ya sawa sawa. Au jina la rangi

#000000 black
#ffffff white
#ff0000 red
#008000 green
#0000ff blue
#ffff00 yellow
#808080 gray
#800080 purple
#00ff00 lime
#00ffff aqua
#ff00ff fuchsia
#800000 maroon
#000080 navy
#808000 olive
#c0c0c0 silver
#008080 teal
#ee82ee violet

?[ /color]
 
Shida yote ya nn,kwan nisipoweka rangi maandishi hayasomeki.

hata na mimi nashangaa ndugu yangu! Kwanza mimi kuweka hizo code kichwani ni ngumu sana kutokana na urahisi na maisha bora niliyo nayo kwa familia yangu je? Code hizo nitazihifadhi kichwani kweli?
 
Nilidhani mie peke yangu ndo nna kichwa cha kichina Huu uzi umenifariji. Shukrani kwa RGforever na wote waliochangia ktk kutufundisha hapa. Pole kwa walimu wote. Kweli kufundisha ni kazi ngumu.
 
Last edited by a moderator:
hata na mimi nashangaa ndugu yangu! Kwanza mimi kuweka hizo code kichwani ni ngumu sana kutokana na urahisi na maisha bora niliyo nayo kwa familia yangu je? Code hizo nitazihifadhi kichwani kweli?


Unaweza mkuu mbona mie naweza..!
 
jana nimepewa semina elekez hadi nikaweza,tena haikua na posho kabisaaaa,hongera kwa mtoa uzi,hongera kwa king
 
hata na mimi nashangaa ndugu yangu! Kwanza mimi kuweka hizo code kichwani ni ngumu sana kutokana na urahisi na maisha bora niliyo nayo kwa familia yangu je? Code hizo nitazihifadhi kichwani kweli?

fanya hivi[color=jina la rangi]andika maneno unayoyataka bila kuacha space[/color]
 
jana nimepewa semina elekez hadi nikaweza,tena haikua na posho kabisaaaa,hongera kwa mtoa uzi,hongera kwa king

Nawashangaa sana wasioweza hii kitu, au hii semina elekezi hadi iwe na posho ndo wataweza.
Salama lakini Bajabiri.
 
Back
Top Bottom