For JamiiForums Mobile users

For JamiiForums Mobile users

test[\color]


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Sasa kazi kwelikweli[doh] watatukoma ni kuo[bathbabyy] katika Elimu ni Bahari
 
hata na mimi nashangaa ndugu yangu!Kwanza mimi kuweka hizo code kichwani ni ngumu sana kutokana na urahisi na maisha bora niliyo nayo kwa familia yangu je? Code hizo nitazihifadhi kichwani kweli?
Wewe nakichwa chako,wengine tunaweza kama itakuwa kweli!
 
Inafurahisha sana! Kuna wana JF hapa baada ya dakika chache za kunyonya darasa, tayari wameishakuwa waalimu wa wenzao zaidi ya mleta Thread! ANIMO ET FIDE.
 
Du RGForever kiboko ubarikiwe tuongeze na :bathbaby: font bado ni ndogo sana na italic :doh: :wink: :coffee: nakupa :mwaaah: katika fani hii :israel: :ioi: :tongue: :ranger: na hi chukua :wink2:
 
Du RGForever kiboko ubarikiwe tuongeze na :bathbaby: font bado ni ndogo sana na italic :doh: :wink: :coffee: nakupa :mwaaah: katika fani hii :israel: :ioi: :tongue: :ranger: na hi chukua :wink2:

Thanks MKUU!
Kama unataka Maandishi makubwa

[ size="15"]Thanks MKUU![/size]

Usiruke nafasi kama mimi. Halafu hiyo 15 unaweza kuweka number nyingine kutegemea unataka size gani
 
  • kamteni bakora nyingine hiyo
  • bakora
  • bakora
  • mikwaju
  • good guy out
 
Back
Top Bottom