Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #41
Sijui sijaelewa! Hivi kama ana hasira anaweza ku duu? Ile kitu inaweza kuerect?
we Ruta, mbona unaandikla kama AK? au Rutashubanyuma =Akili Kichwani?
halafu sio kweli kuiwa mwanaume ni dhaifu anapokaribia ejaculation, na kwa wasichana na wanawake, nawaonya mapema, mkifuata ushauri wa Ruta basi mtaonekana mnatumia tendo lenu hilo kama silaha. utakuwa ni utapeli.
hata kama hiyo nadharia ingekuwa sawa, bado ina mapungufu manake inaeleza wakati mzuri wa mwananmke kuomba msamaha lakini haielezi wakati mzuri wa mwaume kuomba msamaha. hata kama umetahadharisha mada isomwe na ladies tu, bado hata hao ladies wanapenda kujua wakati mzuri wa kuombwa msamaha na wanaume.
msamaha wa kweli si ule utokanao na hadaa au "timing" fulani hivi. ni vyema kama mnakosana na wenzenu muwaombe msamaha mkiwa katika hali ya kawaida na msihusuishe kabisa tendo lile na ombi la msamaha. msamaha wa kweli ni ule utokao moyoni na sio utokanao na udhaifu wa mwanaume
mbarikiwe sana wapendwa
Glory to God!
Haya.....subirieni huo wakati sasa ndo muombe msamaha!!
unatuingiza chaka,wakati wa kuomba msamaha ni pale unapomuona mzee katulia ana amani ya moyo hana stress,mmeshamaliza tendo la ndoa ama ameshakula chakula ulichomtengea,ndio unaanzisha mazungumzo taratiiibu kwa sauti ya upole....naye atakusikiliza,tendo la ndoa ni tendo la ndoa halipaswi attention yake kuwa directed somewhere..........so sio sahihi karibu ana ejaculate umwambie chochote unamkatisha uhondo na result inaweza kuwa mbaya
...mkuu Ruta mbona huo ushauri wako unaharufu ya rushwa ya ngono?...yaani ni kama kumwomba mlevi msamaa,pombe zikisha mtoka kesi iko pale pale...kwa mwanamke makini na anayejiamin hawezi kuutumia mwili wake kupata kitu,atajenga hoja kufikisha ujumbe wake...
Yani umeleta ujumbe huu mda muafaka,lakini huyu mpuuzi anazugaa wachanimchezeshe sebene kwanza....
heehh!! Kwahyo wewé wakubaliana na Ruta.?
...sawa mwili wake alikwisha usalimisha lakini eilewake kwamba hisia na utashi wake kama binadam hakuvisalimisha na hata kama angependa kufanya hivyo hasingeweza ndo maana unapotaka "mzigo" lazima kwanza nae alidhie...hilo unalo sema Ruta kuhusu la kupata msamaha,linawezekana kama koso lenyewe linahusiana na mambo madogo madogo lakini sio mambo makubwa yanayo hitaji ufafanuzi wakina...mfano mkeo amesababisha hasara kubwa ktk biasha uliyompa aisimamie,hapa lazima mkae chini mwangalie vitabu vya mahesabu kubaini nini kimesababisha hasara sio eti kwakuwa unataka "mzigo" akuambie nisamehe tu mmewangu ukubali...tafakali!naona unachanganya mambo.......................swala hapa ni wakati gani mwafaka wa kumaliza mizozano...............mwili wake tayari alikwisha usalimisha kwa mpenzi wake sasa utasemaje ya kuwa anautumia vibaya.........??????? Anachotakiwa ni kunufaika na khali iliyojitokeza.........................just getting the best out of life, that is all.......
...sawa mwili wake alikwisha usalimisha lakini eilewake kwamba hisia na utashi wake kama binadam hakuvisalimisha na hata kama angependa kufanya hivyo hasingeweza ndo maana unapotaka "mzigo" lazima kwanza nae alidhie...hilo unalo sema Ruta kuhusu la kupata msamaha,linawezekana kama koso lenyewe linahusiana na mambo madogo madogo lakini sio mambo makubwa yanayo hitaji ufafanuzi wakina...mfano mkeo amesababisha hasara kubwa ktk biasha uliyompa aisimamie,hapa lazima mkae chini mwangalie vitabu vya mahesabu kubaini nini kimesababisha hasara sio eti kwakuwa unataka "mzigo" akuambie nisamehe tu mmewangu ukubali...tafakali!