Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thumbup proffesor na hii ndo tunaita mgawanyo wa majukumuProffesor anasema... gari si lazima kujua kuendesha... Tutaajiri madereva wa kuendesha gari
Bulldog its fun to ride a bicycle. Nakushauri ujifunze.Sijui kuendesha baiskeli na pikipiki. Na sioni umuhimu wa kujua kwasababu sitakuja kumiliki hivi vyombo.
Uzeeni? Baiskeli tamu kujifunzia utotoniBulldog its fun to ride a bicycle. Nakushauri ujifunze .
Sahivi natafuta pesa, hayo ya baiskel hayanisaidii chochote kwenye income yanguBulldog its fun to ride a bicycle. Nakushauri ujifunze .
Sahivi natafuta pesa, hayo ya baiskel hayanisaidii chochote kwenye income yangu
Maisha ni zaidi ya pesa Bulldog. Kuna vitu vingine ni vidogo sana na havionekani kama havina faida lakini ukivikosa unaona kama umepungukiwa hivi. Yan kama ndo ungekuwa unanifukuzia hicho kingekuwa kigezo kimojawapo cha kukudiskolifai seriously
Siwezi kuhangaika na mwanamke alie bize na vitu visivyo na maana. Okay, nikijua kuendesha, itaongeza nini kwenye maisha na mapenzi??
Will it bring something to the table?? Or help you secure good deals?? Or having a proper way to raise the family?? Or add something to the bed?? Will you see God when riding a bicycle?? Maisha ni zaidi ya hiyo baiskeli.
Na pia kuna vitu nimefanya wengi wenu hamjafanya.
Uongo wa nini?? Ninayo kweli
Ni mtazamo tu...na hyo kwenye mapenzi nimetoa kama mfano tu.... Btw kila mtu ana prioritie zake. To me mwanaume kutojua kuendesha baiskeli sounds a bit strange
Kuwa na gari ni ndoto?Kuna wengine hawana ndoto za kuja kuwa na gari
Duuuuu... ilo nalo neno!?!