Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
aaaaaaah lile dubwasha la weistec enginearing bora lisije likija ushindi utaenda kwa wakenya 😂😂😂😂Kwa kule MASSINGA TT kwanza Track ni fupi.. Ila OldonyoSambu kuna TRACK ndefu... Kias kwamba Ukiachwa unakubali umeachwa kwa HAKI..
Saiv naona kila mtu yupo kimya anafanya mods kimya kimya.. Naitaka ile AMG jini.. Lije pia.. Na 1000hp zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa kuna video yao ni kituko yani Hiyo Prado Light Duty inamvuta Land Rover 110 Short Chasis. Kuna muda wanatengeneza sinema zisizo na uhalisia.
Mkuu unaweza ukacheza nayo vizuri tu. Wenzetu Uganda gari kama Runx,Starlet,Corolla na Vits zinacheza rally na wanakuwa na group laoCorolla supper limited niilete?.
Kama kwenye pikipiki kwenye Toyo zinacheza Sanlg,Kinglion,Huoniao na Sanya.
Amna... Naskia ilikuwa bdo kidogo ikatwe na GC8 ILE sidechick ya Neyaaaaaaah lile dubwasha la weistec enginearing bora lisije likija ushindi utaenda kwa wakenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kwenye pikipiki kwenye Toyo zinacheza Sanlg,Kinglion,Huoniao na Sanya.
Hata kwenye magari watu wanaweza kucheza na gari za kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
sema ile sidechick ya neema ni kisanga.. ye mwenyewe anaikubali hadi kaipotezea Pink [emoji23][emoji23][emoji23]Amna... Naskia ilikuwa bdo kidogo ikatwe na GC8 ILE sidechick ya Ney
Sent using Jamii Forums mobile app
Cjajua kiundani ila KEN and other Technicians wanatoka GTP wanaenda Kwa Jason kuchek Gar kama zipo sawa mfan Hii Arusha drive.. Gari zinazotoka Dar zinatok na Technicians hapa Gtp.. Wanaend kumod gari zote pale arusha kuziweka sawa kwa Race..sema ile sidechick ya neema ni kisanga.. ye mwenyewe anaikubali hadi kaipotezea Pink [emoji23][emoji23][emoji23]
sema pink nayo kama anaiongezea mods maana sasa hivi kaifunga FMIC
alafu embu nisaidie uhusiano kati ya GTP na JASON..... maping yao wanatumia moja au?
Sent using Jamii Forums mobile app
anhaaa nimekupata.... lakini jason naye siana workshop yake pale kwake na anafanya tuning pia au?Cjajua kiundani ila KEN and other Technicians wanatoka GTP wanaenda Kwa Jason kuchek Gar kama zipo sawa mfan Hii Arusha drive.. Gari zinazotoka Dar zinatok na Technicians hapa Gtp.. Wanaend kumod gari zote pale arusha kuziweka sawa kwa Race..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna garage zinafanya body tunning kwa hapa Tanzania sijajua kama zipo. Kuna kipindi nilikuwa Mbala -Zambia nilikutana na jamaa ana Nissan Datsun ilipelekwa South Africa kufanyiwa Mods kwenye Body na kuiweka kwa ajili ya Rally na anasema gharama ni kawaida.Yes ni ww tu.. But kubali kuua gari milele.. Maana Gari inakuwa haina RALLY SPECS
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ana mafund wake paleanhaaa nimekupata.... lakini jason naye siana workshop yake pale kwake na anafanya tuning pia au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheh pesa tu Rb26DETT kwa harak harak bei gan..?Mkuu kuna garage zinafanya body tunning kwa hapa Tanzania sijajua kama zipo. Kuna kipindi nilikuwa Mbala -Zambia nilikutana na jamaa ana Nissan Datsun ilipelekwa South Africa kufanyiwa Mods kwenye Body na kuiweka kwa ajili ya Rally na anasema gharama ni kawaida.
Engine kafunga RB26DETT na imepigwa mapping za kutosha na wa South.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana 100%Toka lini mwanafunzi akamzidi mwalimu?[emoji1321][emoji3603][emoji1321][emoji3603]
Haya kamdanganyeni sasa apambane na shanto[emoji91]
Hayo sio maziwa ya asas[emoji1321][emoji3603]