Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Nilidhani hii ya watu 8 ndio sahihiah kuna gari ilifail brake at the same time kuna gari ilikuwa ina cross barabara ili ikapaki...sasa zikagongana na zikapaa mpk pemben ambako ziliwaangukia watazamaji waliokuwa wamechill..
almost 8 people wamekufa but others wanaendelea vzr.. ni vitu vya kawaid ktk jamii ya motorsports RIDE OR DIE.
hapana sio sahihiNilidhani hii ya watu 8 ndio sahihi
Hii kwa ajili ya drag race. Imefungwa engine gani?
Mapping za kutoshai think ni Full Sti
Mkuu.. Nashauri uondoe hiyo rear bumper completely, I think it will look better
Mkuu.. Nashauri uondoe hiyo rear bumper completely, I think it will look better
rujewa na isihaksilvia... drifting machine..with subie Wagon mafia...View attachment 1106598
rujewa na isihak
Mkuu umepotea sana ujaleta update za Rally hapa karibuni.yeah... ktk meet up ya WCC
Dah.. mkuu majukumu MENGI sana........... hata kuingia jukwaani navizia vizia mara moja moja..... ila mambo yatakaa sawa...Mkuu umepotea sana ujaleta update za Rally hapa karibuni.
Iliyofanyika mwezi wa 9 tarehe 17 nimekuja kupata habari kwenye gazeti naona Dharam Pandya kashinda.Dah.. mkuu majukumu MENGI sana........... hata kuingia jukwaani navizia vizia mara moja moja..... ila mambo yatakaa sawa...
anha... hauna updates zozote za rally i mean Next schedule................. ? then hii december tulizoea kuona ARUSHA DRIVE... ngj tusubir updatesIliyofanyika mwezi wa 9 tarehe 17 nimekuja kupata habari kwenye gazeti naona Dharam Pandya kashinda.
Mwezi wa 10 mwanzoni ARC itafanyika Rwanda. Mount Gorrilla ARC dereva wa Tanzania aliyethibitisha kwenda ni Dharam Pandya.anha... hauna updates zozote za rally i mean Next schedule................. ? then hii december tulizoea kuona ARUSHA DRIVE... ngj tusubir updates
huwa inatoka ratiba ya mwaka.. au miezi mitatu mbele... ila mchezo wa Rally ulikuwa unakuja kwa kasi..(msaada wa AZAM media umechangia sana kuvuta mashabiki wengi) ila WAHINDI wanaharibu kila kitu.... sisi wabongo tunabaki kuwa wapambe tu.. tukizidi sana.. tunakuwa NAVIGATORS,,,, at least kwa Arusha kule... wanajitahidi muamko ni mkubwa.. ila kwa overall perfmnce ya wazawa ni ndogo.. acha wakina PANDYA waamue wanavyotaka....AAT na Mzizima Motor Sport Club taarifa wanatoa kwa kuchelewa na mitandaoni kwenye page nako ni majanga taarifa wanatoa wakijisikia.
Waziri Mwakyembe inabidi awashtue wamelala sana na wamejipa vyeo kama kachori mchezo hausongi mbele kila siku.