Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Hili jambo zuri Sana Kwa wapenda Rally,maana group B haihitaji uwe na gari mpya ni wewe na uwezo wako wa kufanya modifications hata uwe na sport car ya zamani Sana.Hivi haiwezekani kibongo bongo tukatengeneza group B ya kivyetu where there'll be no limits on car modifications? Kati ya rally napenda kuzirudia kuangalia online ni group B. Never disappoints.
Sent using Self-propelled Artillery
Kama unataka kununua gari ya rally kachukue South Africa na unaweza ukatembelea Gumtree South Africa hii ndio website yao ya minada. Pia wacheki motor sports auction huwa wanauza gari na spea.Naomba kujua rally spec wakuuuuu
Then izi gari Kama Ford fiesta protoo Ni shop gan hupaticana easy maana naona sbt na be fwrd hamna.
Then cost paka ifike mkononi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!natamani sana hii kitu lkn mimi nina toyota probox
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Kama unataka kununua gari ya rally kachukue South Africa na unaweza ukatembelea Gumtree South Africa hii ndio website yao ya minada. Pia wacheki motor sports auction huwa wanauza gari na spea.
Ford Fiesta Proto nyingi body inakuwa imetengenezwa nao ila engine inawekwa ya Evo 10.
Kwa kuanza ungechukua Toyota Yaris au Toyota Runx Rsi kutoka South ambazo ni special kwa rally, gharama ipo kawaida na utapata uhakika wa Msaada wa kiufundi.
Ukiacha iyo runx na Yaris nyingine ni ipiKama unataka kununua gari ya rally kachukue South Africa na unaweza ukatembelea Gumtree South Africa hii ndio website yao ya minada. Pia wacheki motor sports auction huwa wanauza gari na spea.
Ford Fiesta Proto nyingi body inakuwa imetengenezwa nao ila engine inawekwa ya Evo 10.
Kwa kuanza ungechukua Toyota Yaris au Toyota Runx Rsi kutoka South ambazo ni special kwa rally, gharama ipo kawaida na utapata uhakika wa Msaada wa kiufundi.
Toyota Celica 4wd.
Mkuu vp iii Honda fitToyota Celica 4wd.
Kama mfuko upo vizuri chukua hata Mitsubishi Evolution 6, au Subaru Impreza wrx sti yenye engine ya N12, N14.
Gari zipo nyingi sana sema tumezoea kuona Subaru nyingi kwenye rally yetu. Kuna Suzuki Swift Sports,Hyundai i20,Honda Civic.
Angalia hizi gari na Suzuki swift sport unacheza nayo tena unaipata manual ikiwa imekamilika kwa rally kwa bei nafuu kutoka Japan.
Shukran sana Offshore SeamenAngalia hizi gari na Suzuki swift sport unacheza nayo tena unaipata manual ikiwa imekamilika kwa rally kwa bei nafuu kutoka Japan.
18 of the Best Rally Cars for Beginners
Mkuu kwenye bajeti ya mwaka 2017/2018 walitoa msamaha wa kodi kwa wanaoagiza magari ya mashindano na watengenezaji wa matela ya maroli.Shukran sana Offshore Seamen
I I'll be on it
Now na idea pakuanzia ni wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nasikia ni paka uwe kwenye team insyotambulikaMkuu kwenye bajeti ya mwaka 2017/2018 walitoa msamaha wa kodi kwa wanaoagiza magari ya mashindano na watengenezaji wa matela ya maroli.
Huo msamaha nadhani bado upo sijajua mwaka huu kama watarudisha kodi kwenye kuagiza gari za mashindano.
Duuh mbona wameweka ukiritimba,TRA ndio wanataka uwe upo kwenye team.
Itabidi ujiunge na team yoyote ambayo ni rahisi kuingia unaweza ukajiunga na waswahili wenzako kama wakina Juma Jush ana Jush Rally Team au Angata Rally team.
Aisee... Kaka upo.. ?😂 Enhe.. kuna mrejesho wowote hukoItabidi ujiunge na team yoyote ambayo ni rahisi kuingia unaweza ukajiunga na waswahili wenzako kama wakina Juma Jush ana Jush Rally Team au Angata Rally team.
Kaka nipo tunapambana taratibu.Aisee... Kaka upo.. ?😂 Enhe.. kuna mrejesho wowote huko
Mie nilikuw nimebanwa na Majukumu ya kikazi.... Ila nilipata Updates mbili tatu so far..Mwezi huu tarehe 7-8/11 Kulikuwa na Rally Arusha, nimeona update chache za event.