Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
- Thread starter
-
- #161
Hahah.. Huwez jua maybe katia 2jz-Gtehahahah utapigwa gape la contena saba na head start unapewa ya 30 seconds [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mianzini mataa mkuu.
Ila kwny sheria za kodi 2018/2019 kuna exemption/relief serikali imetoa kwny huo mchezo wa magari ili kuu-promote mkuu.Tanzania mchezo wa Rally haujapewa kipaumbele na hakuna njia za kuutangaza zaidi kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes huwa hayakatwi kodi,Ila kwny sheria za kodi 2018/2019 kuna exemption/relief serikali imetoa kwny huo mchezo wa magari ili kuu-promote mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah atakuwa katisha sana... alafu kitu kitakuwa light weight powered with more than 280 bhp [emoji23][emoji23] kikichomoka kama kishada
Hahah 280hp ikiwa Stock.. So kam katia na Mods.. Itakuwa above 320hp.. Anaweza compete na Evo or DKP tezza ya Dibohahahah atakuwa katisha sana... alafu kitu kitakuwa light weight powered with more than 280 bhp [emoji23][emoji23] kikichomoka kama kishada
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes huwa hayakatwi kodi,
Ila Running cost zake ni kubwa MNO
Pili kununua Challenging car mfano SKODA ni bei sana.. Gari kama za kina Manvir bila 300Mil hupati.. So hapo ata usipokatwa kodi 300Mil ni nyingi sana..
Ukinunua Subaru.. Jiandae service park yako.. New tyres na Fee per kila rally.. Pasua kichwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana,na rally bila sponor hufik mbali..
speaking of DIBO aseeee daaaah ile tezza imekula mods aiseee ile borgwarner turbo ni konyooooo pale hadi subie zilizokula mods zinanyamwa mamaeeee..Hahah 280hp ikiwa Stock.. So kam katia na Mods.. Itakuwa above 320hp.. Anaweza compete na Evo or DKP tezza ya Dibo
Sent using Jamii Forums mobile app
Now anatumia Red Evil.. Ile dkp ina 1jz ila turbo kaweka kubwa sana.. Kufunguka kwake kunahitaj umbali.. Alaf ile kwa sasa sio Daily driven car.speaking of DIBO aseeee daaaah ile tezza imekula mods aiseee ile borgwarner turbo ni konyooooo pale hadi subie zilizokula mods zinanyamwa mamaeeee..
alafu sijaiona DKP mudaaaaa dibo kaificha wapi hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ
yah borgwarner turbo kwenye drag race wanakunyama ππ maana boost yake inachelewaNow anatumia Red Evil.. Ile dkp ina 1jz ila turbo kaweka kubwa sana.. Kufunguka kwake kunahitaj umbali.. Alaf ile kwa sasa sio Daily driven car.
Tusubir Arusha drive 3.0
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kule MASSINGA TT kwanza Track ni fupi.. Ila OldonyoSambu kuna TRACK ndefu... Kias kwamba Ukiachwa unakubali umeachwa kwa HAKI..yah borgwarner turbo kwenye drag race wanakunyama [emoji23][emoji23] maana boost yake inachelewa
arusha drive 3.0 itakuwa moto sana.... naombea tuuuu this time tufanikiwe kuwaona jason na bett wakitoana jasho
maana kama kuna mchawi mara zote lazma tatizo litokee kwa mmoja wao na washindwe kushindana