The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
....Gaga, huu mchakato umeshakamilika katika hatua ya kwanza ya ku-point! sasa taratibu nyingine ndo zinafuata......!
TF.....big up sana bro, umenipa support sana kwenye mchakato huu! aisee nilimwagiwa mi-PM na emails mpaka nikashindwa ku-organise some face to face encounters.....! so mpaka sasa mchakato kwa hapa JF nataka ufungwe, naendelea na hatua nyinginezo....u know what I am saying bro!
Thanks to the JF people for letting us have this forum......!
HONGERA SANA MKUU natumaini itakuwa kama ilivyo kwenye signature yako tuko pamoja ''Naomba mke nitakaye mpata awe ametoka kwa Bwana'' .......Taluma
Definately bro.................!
BWT: TEAMO kwa niaba ya wanyalu, amepewa heshima ya kutoa tangazo lakufunga mchakato huu hapa JF,hope atafanya hivyo kesho!
Taluma PM yangu umeiona?
Karibia natangaza matokeo ya mchakato huu......awamu ya kwanza!
I was I Tz last year with my family and I like it. It was ma first time but the problem tht I had was people where smelling so bad NOT evrybody but some taxi driver, people on the street,club, and something dalahdalah damn I couldnt breath otherwize I lvvvvvvvvv it and im going again nxt yeah with my whole family cnt wait.
Siamini kama sifa zote sina!!
Twen'zetu kijijini wewe!