for single fathers only

for single fathers only

nginaeli

Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
22
Reaction score
5
namtafutia rafik yangu mme ni dada mcha mungu ,black beuty, umbo zuri mnene kiasi,mama wa mtoto mmoja, nimekuwa nae kwa muda mrefu hana mtu katika kumchunguza akaniambia anataman sana ila atleast atakaye mpata awe na yeye ana mtoto nikamuuliza unataka wa aina gan hasa akasema awe mcha mungu awe na shunguli yeyote ya kujiongezea kipato yeye ni muajiriwa wa serikali ,ana degree moja interested pm nitampa ujumbe mjadiliane mkikubaliana haya mie tena mshenga anyway yeye sio member humu thats why nimechukua nafasi hii kufikisha ujumbe anajua kwamba nimefanya hv yeye ni mkristo so utatakaye pm uwe mkristo pia nawasilisha baba wa mtoto wake hajulikan alipo wameachana miaka minne iliyopita
 
^^
Da! Nimekosa sifa moja..
Tunamkumbuka ktk sala zetu Mungu amusaidie kupata hitaji lake.
^^
 
Unakula cha udalali nn? Anyway wacha Mungu mnahitajika naona market inapanuka kwenu
 
Kwani kuwa memba wa Jamii forum inachukua dakika ngapi? Kwanini tunapenda kutumia nafsi ya tatu umoja badala ya nafsi ya kwanza. Mwambie aje mwenyewe hapa.
 
dah kwel nimeamini asiye na bahati habahatiki na hii nayo inanipita jamani
 
Kwani kuwa memba wa Jamii forum inachukua dakika ngapi? Kwanini tunapenda kutumia nafsi ya tatu umoja badala ya nafsi ya kwanza. Mwambie aje mwenyewe hapa.

hata akijiunga unadhani utamtambua?madam post ipo... U do what u gotta do men.
 
Back
Top Bottom