namtafutia rafik yangu mme ni dada mcha mungu ,black beuty, umbo zuri mnene kiasi,mama wa mtoto mmoja, nimekuwa nae kwa muda mrefu hana mtu katika kumchunguza akaniambia anataman sana ila atleast atakaye mpata awe na yeye ana mtoto nikamuuliza unataka wa aina gan hasa akasema awe mcha mungu awe na shunguli yeyote ya kujiongezea kipato yeye ni muajiriwa wa serikali ,ana degree moja interested pm nitampa ujumbe mjadiliane mkikubaliana haya mie tena mshenga anyway yeye sio member humu thats why nimechukua nafasi hii kufikisha ujumbe anajua kwamba nimefanya hv yeye ni mkristo so utatakaye pm uwe mkristo pia nawasilisha baba wa mtoto wake hajulikan alipo wameachana miaka minne iliyopita